Utafanyaje km uliye mtegemea ndiye kumbe siye?!

haiwezekani ,kama umempa picha ya kweli ,atakupotezea kama ni ndugu .

ila kama ni wale wazee wa picha feki.
tunabonga tu sikupotezei wala nini..
ila ntakuuliza kilichokusibu kunipa picha fake.

mazungumzo yako ya siku hiyo yataamua nikuache & tuendeleze libeneke.
 
[emoji115] ndiyo tuchukulie mfano umeenda unamkuta ni mkeo/mumeo
 
Huyu mjukuu wangu hanifanyi kitu zaidi ya kumwachia laana tu akinifuatilia

[emoji15] [emoji15] babuuuu nimesoma vibaya au [emoji115] [emoji115] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…