Utafanyaje yakikukuta haya?

Na wewe unajifanya mtoto wa kishua sio, kwamba huo msosi haufai kwa matumizi tena.
Afanaleki.
 
Kuna tatizo gani hapo? Mpaka tires zitalambwa.
 
Af uzuri zaidi nyama hazijamwagika[emoji275]
Hilo ndio la muhimu, hata Mimi Cha kwanza niliangalia kwenye chombo baada ya kujiridhisha nikashusha pumzi [emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…