Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 284
Uko zako uraiani na ushamaliza mihangaiko yako ya kila siku...!!unaangalia taarifa ya khabari unaona rafiki yako, mfano classmate wako wa sekondari, anaonekana ktk TV akitafutwa na Polisi kama mhalifu sugu na mwenye mtandao mkubwa hadi polisi.. na zawadi nono kwa atakayefanikisha kukamatwa kwake!!
Siku chache, unakutana nae uso kwa uso ukiwa mihangaikoni... anakusabahi..anaonekana ni mtu mstaarabu na mwenye hela... mnabadilishana mawili matatu ila wewe huna amani naye anaonekana hana amani na wewe...!!
utamuuliza kuhusu habari zake ktk tv...utamsalimisha polisi(kumbuka kuna zawadi nono nawe umifulia)?!:A S 39:
Siku chache, unakutana nae uso kwa uso ukiwa mihangaikoni... anakusabahi..anaonekana ni mtu mstaarabu na mwenye hela... mnabadilishana mawili matatu ila wewe huna amani naye anaonekana hana amani na wewe...!!
utamuuliza kuhusu habari zake ktk tv...utamsalimisha polisi(kumbuka kuna zawadi nono nawe umifulia)?!:A S 39: