Utafanyeje ukigundua kuwa nyumba ndogo yako inamegwa na Mlinzi?

Utafanyeje ukigundua kuwa nyumba ndogo yako inamegwa na Mlinzi?

Why would you deserve a truthfully love, while you haven't done it with your 1st wife. Kwahiyo kaka utatia akili, ujue kuwa hujakilimiliki so get lost!
CAN I GET AN AYMEN 4 THIS POST!..wel said.
 
Jana kuna mtu mtu kamfunia mke wake akiwa na kitoto cha miaka kumi na tisa, sijui ni nini kinaendelea huko nyumbani kwao hivi sasa.
 
Halafu kama mtu keshakubali yeye kuwa nyumba ndogo...usitegemee malaika hapo. Kicheche tu huyo.....na vicheche huja ktk hali na maumbile tofauti. Unaweza kukuta demu ana mwonekano wa heshima kabisa kumbe kicheche tu.
Mhh. vicheche na maumbile tofauti ni pepo hilo
 
Laana ya mkeo imekurudia hiyo nyumba ndogo ya nini na una mke mzuri vile
 
umejuaje kama mke wa mwenzio ni mzuri au na wewe ndio nyumba ndogo yako jamaa akitoka na wewe unamega?????
 
Jamani, tatizo la buinadamu wa leo haturidhiki.
wanawake na wanaume wote wamekosa uaminifu
 
gud
umefanya vbaya na umelipwa vbaya thats game!!!!
 
Back
Top Bottom