Ngoja nikafungue kilingeDuh aise hawa jamaa kumbe washirikina sana
MK254
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nikafungue kilinge
Hehehe Wacheni kuchekesha bana.....maana kwenu huko mnakotafuna albino ndio ushirikina umetamalaki, nch gani nyingine dunia hii umeskia albino wanaliwa kama kwenu....Duh aise hawa jamaa kumbe washirikina sana
MK254
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kikubwa wasaidike na huduma yangu
Kampala wanakula rangi zoteHehehe Wacheni kuchekesha bana.....maana kwenu huko mnakotafuna albino ndio ushirikina umetamalaki, nch gani nyingine dunia hii umeskia albino wanaliwa kama kwenu....
Nyinyi ndio wale waganga fake mnaoambia watu "Niletee mkojo wa kombamwiko na firigisi ya kinyonga?"Kampala wanakula rangi zote
Hapana mimi sio kati yaoNyinyi ndio wale waganga fake mnaoambia watu "Niletee mkojo wa kombamwiko na firigisi ya kinyonga?"
Tz tunaongoza kwenye hili jedwali dunia nzimaVipi kwa Tz
Kule watu walikua wanaliwa kama msosi wa kawaida, haikua kwa aili ya ushirikina, ila kwenu hapo eti ukitaka ushindi kwenye uchaguzi au biashara yako inawiri inakubidi kutafuna mnofu wa albino na kushushia kwa mchuzi wake.Kampala wanakula rangi zote
Kule watu walikua wanaliwa kama msosi wa kawaida, haikua kwa aili ya ushirikina, ila kwenu hapo eti ukitaka ushindi kwenye uchaguzi au biashara yako inawiri inakubidi kutafuna mnofu wa albino na kushushia kwa mchuzi wake.
Ilishapita hii, kila vitabu na kurasa zake
Tutajuaje maana siku hizi kwenu huko hairuhusiwi kutoa taarifa zozote bila kupitia vyombo vya dola.....kila kitu kimeminywa, ukisema tu unalo.
Hapana hii sio ile forbidden information ya kolonya
Nijuavyo mimi pembe la moo halifichikiKwanza hizi za kutafuna albino ndio mnazima kabisa bora hata za kolonya, nakumbuka juzi mlipoanza kuchinja watoto kule Njombe, mkulu wenu alikasirika sana na kuanza kufuta wakuu wa polisi, kwa hali kama hiyo lazima zifichwe kwa nguvu zote.
Nijuavyo mimi pembe la moo halifichiki