USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Wazee zaidi ya 150 wameuawa mwaka jana katika pwani ya Kenya eneo Kirifi nchini Kenya kwa imani za kishirikina na tuhuma za uchawi BBC WORD NEWS imechapisha katika wavuti wake.
Inadaiwa wakenya wamezidi kuuawa kwa ushirikina na kumekuwa na visa kadhaa vya mauji na mashambulio ya kudhuru mwili.
Ukionekana una macho mekundu,nyusi zenye rangi tofauti lazima uuwawe wa watu.
Chanzo BBC
USSR
Inadaiwa wakenya wamezidi kuuawa kwa ushirikina na kumekuwa na visa kadhaa vya mauji na mashambulio ya kudhuru mwili.
Ukionekana una macho mekundu,nyusi zenye rangi tofauti lazima uuwawe wa watu.
Chanzo BBC
USSR