Brightman Jr JF-Expert Member Joined Mar 22, 2009 Posts 1,224 Reaction score 234 Jan 9, 2012 #21 Kombo said: Hivi kwa mujibu wa Katiba ya JMT (1977) Mgombea U-Rais wa JMT anapaswa kuwa na umri gani? Click to expand... Nina wasiwasi na wewe huenda si Mtz..! Inabidi tukufuatilie kwa undani tujue uraia wako.
Kombo said: Hivi kwa mujibu wa Katiba ya JMT (1977) Mgombea U-Rais wa JMT anapaswa kuwa na umri gani? Click to expand... Nina wasiwasi na wewe huenda si Mtz..! Inabidi tukufuatilie kwa undani tujue uraia wako.
nitonye JF-Expert Member Joined Dec 18, 2011 Posts 7,342 Reaction score 3,885 Jan 9, 2012 #22 director1 said: sikubaliani na hili kabisa'mimi mbona ni 40 na najihisi iko fresh kuliko nilivyokuwa 30?labda watoe ufafanuzi wa kutosha au waeleze kwa undani inanywea vipi Click to expand... Unaweza ukajiona uko freshi kumbe wanaokuona wanaona akili imeshazeeka
director1 said: sikubaliani na hili kabisa'mimi mbona ni 40 na najihisi iko fresh kuliko nilivyokuwa 30?labda watoe ufafanuzi wa kutosha au waeleze kwa undani inanywea vipi Click to expand... Unaweza ukajiona uko freshi kumbe wanaokuona wanaona akili imeshazeeka
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Jan 9, 2012 #23 Ohooo, sasa nimeelewa!