Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 234
Hivi kwa mujibu wa Katiba ya JMT (1977) Mgombea U-Rais wa JMT anapaswa kuwa na umri gani?
Nina wasiwasi na wewe huenda si Mtz..! Inabidi tukufuatilie kwa undani tujue uraia wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwa mujibu wa Katiba ya JMT (1977) Mgombea U-Rais wa JMT anapaswa kuwa na umri gani?
sikubaliani na hili kabisa'mimi mbona ni 40 na najihisi iko fresh kuliko nilivyokuwa 30?labda watoe ufafanuzi wa kutosha au waeleze kwa undani inanywea vipi