...kiongozi, don't pay dowry, I urge you man. Mahari kwa kizazi cha sasa ni kuharibu pesa na rasilimali tu. Samaki ameliwa pande mbili na bado ununue mifupa..
Hata mimi huwa sielewagi kabisa mkuu bora umeulizaHivi hizi 0713 zina nn mpk watu wazing'ang'anie
najaribu jinsi ya kukuelezea ila nahisi hautoelewa,jaribu tu kufanya mwenyewe ndio utaelewa,ni sawa tu na mchezo wa tennis,hauwezi kuiona raha yake ukiwa unautazama hadi uucheze mwenyewe...Hivi hizi 0713 zina nn mpk watu wazing'ang'anie
du, haya majanga....na huu ndio ukweli usiopingika...hata humu JF (MMU) wapo kibao tu, na wengine WASAGAJI kabisa.Idadi ya wanawake wenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ikiongezeka, asilimia 26.5 ya wanawake Tanzania wamebainika kuwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile.Mfumo wa uzazi unaharibika watafiti wanabainisha kuwa kitendo hicho licha ya ukweli hakifai kwa vile kinaharibu mfumo wa uzazi, kina athari kubwa mno kwa mwanadamu, mojawapo ni ikiwemo uwezekano mkubwa wa wahusika kuambukizana virusi vya UKIMWI kwa vile hakuna vilainishi, hivyo kusababisha michubuko ambayo ndio njia kuu ya kuambukiza vijidudu hivyo.
Mtafiti Mwanasayansi, Irene Mremi kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu nchini Tanzania (NIMR) alitoa ripoti hiyo hivi karibuni hapa jijini Dar Es Salaam. Mremi akiwa na jopo la watafiti kutoka NIMR anasema kuwa wanawake hao wamesema chanzo kikubwa kinacho wapelekea kufanya ngono kinyume na maumbile ni kujipatia kipato zaidi na Kuogopa kupata Mimba.
Vilevile alizitaja sababu nyingine za wanawake kufanya mapenzi kwa njia hiyo ni kulinda usichana wao na baadhi ya mila na tamaduni za baadhi ya makabila. Sampuli za utafiti Utafiti huo ulikusanya sampuli kutoka katika mikoa ya Dar es salaam, hasa maeneo ya Kinondoni, Tanga, Makete na Siha.
Mremi anasema “Utafiti wetu uliwahusisha wasichana na wanawake wa rika kuanzia miaka 15 na kuendelea na kada tofauti katika jamii kama wanafunzi, wafanyakazi, wahudumu wa bar, wauguzi, makahaba na akina mama wa nyumbani Katika maeneo hayo watu 903 walijitokeza wakiwepo pia wanaume ambao walihusishwa katika utafiti huo.
Imani potofu kwa wanaume wanaume waliohojiwa wamesema wanafanya kwa ajili ya kupata raha tu na imani ya kuwa huko hakuna maaambukizi ya VVU, kitu ambacho ni uongo, kwani huko ndiko kwenye kuchangia ukimwi kwa haraka zaidi kuliko sehemu nyingine yoyote.
Chanzo: Mwananchi
Miss chagga upo mupenzi?AISEEEE
Umeona au siyo?.maana hawataki kuacha kitu,leo ndio leo hakuna kesho,ni mwendo wa kukomba mboga yoote bila kubakiza.
Wewe ulitakaje labda kwa mfano?
Wewe ulitakaje labda kwa mfano?
Nitastaafu nyuki wakianza kutoa maziwa badala ya asali.Inatosha sasa kutumia hiyo kitu ustafu basi
Nitastaafu nyuki wakianza kutoa maziwa badala ya asali.
Kitulize wewe, usitake kujua kila kituKwahiyo kumbe huko huwa unatafuta asali eti!
kwamba akikutana nayo tu analainisha then anaingia mzigoni,au?Wanaume wengi mjini daslam wanatembea na mafuta ya mgando kwenye mifuko yao
nipo mupenzi wangu .. za kwako?Miss chagga upo mupenzi?
ndio manake sheikh wangukwamba akikutana nayo tu analainisha then anaingia mzigoni,au?
Utafiti huo ulikusanya sampuli kutoka katika mikoa ya Dar es salaam, hasa maeneo ya Kinondoni, Tanga, Makete na Siha.
Mremi anasema “Utafiti wetu uliwahusisha wasichana na wanawake wa rika kuanzia miaka 15 na kuendelea na kada tofauti katika jamii kama wanafunzi, wafanyakazi, wahudumu wa bar, wauguzi, makahaba na akina mama wa nyumbani Katika maeneo hayo watu 903 walijitokeza wakiwepo pia wanaume ambao walihusishwa katika utafiti huo.
raha ya ngoma uingie ucheze jaribu kufanya utapata jibu