UTAFITI; Asilimia 26.5 wanawake hufanya mapenzi kinyume na maumbile

mbona mbele patamu sana jamani huko kwenye mavi kunani???
 
Angalau wametoa kamwanga..., ka-uhalisia fulani hivi!
 
MMMH HIZI TAFITI WAWE WANATUPA SAMPO SPACE ZAO..SASA MTU UKIENDA KUFANYA TAFITI PALE KONA BAA UNATEGEMEA NINI...WAMEHOJI WANAWAKE WANGAPI NA WALIOPO KWENYE TASNIA ZIPI...ASILIMIA 26 YA WANAWAKE WANGAPI?MI SIPEND TAFITI ZA JUU JUU BANA
903., wamesema wamezingatia Kada mbalimbali ktk jamii.., kasoro hakutaja wanawake walioko kwenye ndoa.

Pengine mleta mada angetuwekea link ya utafiti (na sio source) tungeweza kupata mengi zaidi ambayo mwandishi wa mwananchi hakuweza kuyaandika!!
 
Kuna mambo mawili yanayonishangaza,naam,matatu ya yanayonichosha zaidi,
 
Mini Kabang!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…