Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,724
- 1,693
Mkuu hivi nyuma kutamu? Maana mimi huwa nasikia kila kukichb tigo mara 0713.. hata sielewraha ya ngoma uingie ucheze jaribu kufanya utapata jibu
Mkuu hivi nyuma kutamu? Maana mimi huwa nasikia kila kukichb tigo mara 0713.. hata sielewraha ya ngoma uingie ucheze jaribu kufanya utapata jibu
sasa kama ni both mbona unasumbua wenzio wakati vifaa vyote unavyo hapo,upindishe tu mpododo upande wa pili hapoboth
Mkuu hivi nyuma kutamu? Maana mimi huwa nasikia kila kukichb tigo mara 0713.. hata sielewraha ya ngoma uingie ucheze jaribu kufanya utapata jibu
utafikiri wafia dini na ndizi zao au pilipili...Wanaume wengi mjini daslam wanatembea na mafuta ya mgando kwenye mifuko yao
Onja uone....Hivi hizi 0713 zina nn mpk watu wazing'ang'anie
Wanafata rabaHivi hizi 0713 zina nn mpk watu wazing'ang'anie
Umeisoma hiyo habari mkuu? Mbona wameeleza vizur tu, wamechukua kada mbali mbali wakiwemo wanafunzi, walio kweny ndoa, wauguzi na wengnMMMH HIZI TAFITI WAWE WANATUPA SAMPO SPACE ZAO..SASA MTU UKIENDA KUFANYA TAFITI PALE KONA BAA UNATEGEMEA NINI...WAMEHOJI WANAWAKE WANGAPI NA WALIOPO KWENYE TASNIA ZIPI...ASILIMIA 26 YA WANAWAKE WANGAPI?MI SIPEND TAFITI ZA JUU JUU BANA
Yani vijana na mabinti wameharibika sana aisehIdadi ya wanawake wenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ikiongezeka, asilimia 26.5 ya wanawake Tanzania wamebainika kuwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile.Mfumo wa uzazi unaharibika watafiti wanabainisha kuwa kitendo hicho licha ya ukweli hakifai kwa vile kinaharibu mfumo wa uzazi, kina athari kubwa mno kwa mwanadamu, mojawapo ni ikiwemo uwezekano mkubwa wa wahusika kuambukizana virusi vya UKIMWI kwa vile hakuna vilainishi, hivyo kusababisha michubuko ambayo ndio njia kuu ya kuambukiza vijidudu hivyo.
Mtafiti Mwanasayansi, Irene Mremi kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu nchini Tanzania (NIMR) alitoa ripoti hiyo hivi karibuni hapa jijini Dar Es Salaam. Mremi akiwa na jopo la watafiti kutoka NIMR anasema kuwa wanawake hao wamesema chanzo kikubwa kinacho wapelekea kufanya ngono kinyume na maumbile ni kujipatia kipato zaidi na Kuogopa kupata Mimba.
Vilevile alizitaja sababu nyingine za wanawake kufanya mapenzi kwa njia hiyo ni kulinda usichana wao na baadhi ya mila na tamaduni za baadhi ya makabila. Sampuli za utafiti Utafiti huo ulikusanya sampuli kutoka katika mikoa ya Dar es salaam, hasa maeneo ya Kinondoni, Tanga, Makete na Siha.
Mremi anasema “Utafiti wetu uliwahusisha wasichana na wanawake wa rika kuanzia miaka 15 na kuendelea na kada tofauti katika jamii kama wanafunzi, wafanyakazi, wahudumu wa bar, wauguzi, makahaba na akina mama wa nyumbani Katika maeneo hayo watu 903 walijitokeza wakiwepo pia wanaume ambao walihusishwa katika utafiti huo.
Imani potofu kwa wanaume wanaume waliohojiwa wamesema wanafanya kwa ajili ya kupata raha tu na imani ya kuwa huko hakuna maaambukizi ya VVU, kitu ambacho ni uongo, kwani huko ndiko kwenye kuchangia ukimwi kwa haraka zaidi kuliko sehemu nyingine yoyote.
Chanzo: Mwananchi
MmmmmmIna raha yake lakini wanasema kwa wale watumiaj
Wanawake wenye ndoa wanaofir** Imepanda mpaka 35%.Idadi ya wanawake wenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ikiongezeka, asilimia 26.5 ya wanawake Tanzania wamebainika kuwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile.Mfumo wa uzazi unaharibika watafiti wanabainisha kuwa kitendo hicho licha ya ukweli hakifai kwa vile kinaharibu mfumo wa uzazi, kina athari kubwa mno kwa mwanadamu, mojawapo ni ikiwemo uwezekano mkubwa wa wahusika kuambukizana virusi vya UKIMWI kwa vile hakuna vilainishi, hivyo kusababisha michubuko ambayo ndio njia kuu ya kuambukiza vijidudu hivyo.
Mtafiti Mwanasayansi, Irene Mremi kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu nchini Tanzania (NIMR) alitoa ripoti hiyo hivi karibuni hapa jijini Dar Es Salaam. Mremi akiwa na jopo la watafiti kutoka NIMR anasema kuwa wanawake hao wamesema chanzo kikubwa kinacho wapelekea kufanya ngono kinyume na maumbile ni kujipatia kipato zaidi na Kuogopa kupata Mimba.
Vilevile alizitaja sababu nyingine za wanawake kufanya mapenzi kwa njia hiyo ni kulinda usichana wao na baadhi ya mila na tamaduni za baadhi ya makabila. Sampuli za utafiti Utafiti huo ulikusanya sampuli kutoka katika mikoa ya Dar es salaam, hasa maeneo ya Kinondoni, Tanga, Makete na Siha.
Mremi anasema “Utafiti wetu uliwahusisha wasichana na wanawake wa rika kuanzia miaka 15 na kuendelea na kada tofauti katika jamii kama wanafunzi, wafanyakazi, wahudumu wa bar, wauguzi, makahaba na akina mama wa nyumbani Katika maeneo hayo watu 903 walijitokeza wakiwepo pia wanaume ambao walihusishwa katika utafiti huo.
Imani potofu kwa wanaume wanaume waliohojiwa wamesema wanafanya kwa ajili ya kupata raha tu na imani ya kuwa huko hakuna maaambukizi ya VVU, kitu ambacho ni uongo, kwani huko ndiko kwenye kuchangia ukimwi kwa haraka zaidi kuliko sehemu nyingine yoyote.
Chanzo: Mwananchi