UTAFITI; Asilimia 26.5 wanawake hufanya mapenzi kinyume na maumbile

Tunapenda tu kuiga vitu vya ajabu ajabu, mwanaume anasikia kastory kwa rafiki zake eti nyuma kutamu Naye anaenda kumlazimisha mpnz /mke wake wajaribu huo upumbavu. Eeh mungu okoa hiki kizazi.
 
Ilisababisha Mungu aje kusabahi duniani baada ya vumbi la dhambi kutimka huko juu mbinguni akataka kuhakikisha je ni kweli?
 
Hii ni laana mimi watu wanakula utumbo? Huu ni zaidi ya unyama
 
MMMH HIZI TAFITI WAWE WANATUPA SAMPO SPACE ZAO..SASA MTU UKIENDA KUFANYA TAFITI PALE KONA BAA UNATEGEMEA NINI...WAMEHOJI WANAWAKE WANGAPI NA WALIOPO KWENYE TASNIA ZIPI...ASILIMIA 26 YA WANAWAKE WANGAPI?MI SIPEND TAFITI ZA JUU JUU BANA
Umeisoma hiyo habari mkuu? Mbona wameeleza vizur tu, wamechukua kada mbali mbali wakiwemo wanafunzi, walio kweny ndoa, wauguzi na wengn
 
Siku izi usipo tumia unaonekana mshamba.mimi sipendagi kuwashawishi wa nipe lakini Kama Ni mwanachama kutoka huko atokako na akanishirikisha Jambo lake napita nayo vizuri tu
 
Kutwa kuonesha,kubinua makalio
Unafikir wnataka nn km sy kuliwa tpe

Ova
 
Yani vijana na mabinti wameharibika sana aiseh
 
Wanawake wenye ndoa wanaofir** Imepanda mpaka 35%.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…