Utafiti: Binadamu kaumbwa ili kugombea penzi (utulivu siyo asili yetu)

Utafiti: Binadamu kaumbwa ili kugombea penzi (utulivu siyo asili yetu)

wacha uongo ww mtoto, mtulivu siku zote hupata mtulivu but mtulivu akinganganiza kwa kicheche ndo anaanzisha uzi kama huu
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji116]

Mfano mwingine ni mwaume akipata kamama kapooole katulivu huwa hatulii ndani kabisa lazima atoke inje akatfte mchepuko wa kugombea yaani!
yaani yupo tayali aache mama msitaarabu ndani halafu akadange inje kwa wale maokoto chupi mkononi ilimradi tu agombee penzi!
 
Kuna wanawake wamepoa Kama uji wa msibani[emoji26]
 
Tafiti za kipuuzi kulingana na hisia na maumivu ya waleta uzi zimekua nyingi sana.
 
Back
Top Bottom