mmhKabisa shougaaanguu!
Ndiwoooo!!!Kabisa shougaaanguu!
wewe mmeo katulia au ndo vile mguu ndan mguu injeNdiwoooo!!!
Vipi Kwemaaa??!!
Mume wangu katulia, tuliiiwewe mmeo katulia au ndo vile mguu ndan mguu inje
heehwacha uongo ww mtoto, mtulivu siku zote hupata mtulivu but mtulivu akinganganiza kwa kicheche ndo anaanzisha uzi kama huu
jamaa anatufundisha kutesekaUsihalalishe..kuteseka bila sababu
duuhKuna wanawake wamepoa Kama uji wa msibani[emoji26]
Tafiti za kipuuzi kulingana na hisia na maumivu ya waleta uzi zimekua nyingi sana.