Utafiti binafsi: Wanyama na mimea vinavyotoweka kwa kasi hapa Tanzania

Utafiti binafsi: Wanyama na mimea vinavyotoweka kwa kasi hapa Tanzania

Huu ni utafiti binafsi ambao nomeufanya katika maeneo nineyoishi.

Utafiti umeangalia ulinganifu kipindi Cha miaka 10 mpaka 20 Nyuma na kipindi hiki Cha kiaka ya hivi katibuni.

Je, Huko iliko wewe mdau Kuna MIMEA au wa WANYAMA ambao wamepotea tofauti na zamani?

1. Mti aina ya STAFELI
2. POPO
3. MINYOO (Ile inaibuka mvua ikinyesha)
4. SUNGURA
5. KOBE
6. Miti ya Komamanga
7. Majani ya kuwasha jamii ya upupu.
8. Njiwa
9. Kumbikumbi
10. Uyoga
11. Tupe maoni yako
Mikungu
Mizambalau
miti ya mjohoro
Miarobaoni
Mizugwa
Mivumbasha
 
*Vinega ( jamii ya ndege walikuwa wengi sana kariakoo ) wanakimbia fasta
*Kasuku
*mipela
*koma manga
*nguchiro
*kakakuona
*kinyonga
*kunguru wenye baka jeupe
*tausi
*Mimbilimbi
 
Back
Top Bottom