Utafiti binafsi

KACHINJA

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
1,263
Reaction score
869
Nimebaini kuwa watu wanaofanya mazoezi ya viungo huwa wanafurahia usingizi,hii ni kwa sababu viungo vyao huwa laini
Kinyume cha wale wasiofanya mazoezi huwa wanapata shida sana kutokana na kusihi maumivu ya viungo kama vile kiuno,mabega,shingo na nk
 
Nimebaini kuwa watu wanaofanya mazoezi ya viungo huwa wanafurahia usingizi,hii ni kwa sababu viungo vyao huwa laini
Kinyume cha wale wasiofanya mazoezi huwa wanapata shida sana kutokana na kusihi maumivu ya viungo kama vile kiuno,mabega,shingo na nk
Tawire mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…