Tawire mkuu.Nimebaini kuwa watu wanaofanya mazoezi ya viungo huwa wanafurahia usingizi,hii ni kwa sababu viungo vyao huwa laini
Kinyume cha wale wasiofanya mazoezi huwa wanapata shida sana kutokana na kusihi maumivu ya viungo kama vile kiuno,mabega,shingo na nk
Yooo kaziro! iwe mshumbe-soi naomba uniazime milioni saba (7,000,000) sina hela ya ku enjoy wakati sikukuu za mwaka krismas na mwaka mpya!Nilidhani unamuhusu mtakatifu au mtukufu!!