Utafiti binafsi


Mkuu nakubaliana na wewe wanasiasa na ngono ni damudamu aisee..hususan huku kwetu Afrika.
Tena hizo vitu maalum ndio kiboko mzee...
 
..So kwa hapa ningependa kuona wanaume wenyewe wakipinga au kukubali utafiti huu kwani wao ndio wanajua hisia za miili yao na sio wewe mwanamke!kwani ukweli ni kwamba hujui chochote kuhusu lust ya mwanaume!kama ntawaudhi kinadada amsor!

Umenena sahihi kabisa..
Wanaojijua kama hawatosheki na wajiseme wenyewe..lakini unakuta mtu anapinga tu kwa vigezo wote tuko sawa..
 

abeeee mie hapa si unajua weekend leo nimeshaweka mambo sawa shem wako usingizi chali naingia darasani saa hizi hebu njuze shosti!
 

pacha nimeitika wito ndo nasoma hapa lithread kisha niingie ku darasa!najua wanafunzi wangu Asprin na wewe mtakuwa mshaharibu sana notes huku,ndo nazipitia nione milfanya nini wakati sipo darasani!
 
hujabadilisha ladha kaka!
unajua mazoea hujenga tabia inawezekana unaamini hivo kutokana na yale unayofanyiwa unahisi ndiyo ubunifu katika mapenzi.
 
Subiri afrodenzi akikua akaolewa ataona na kuamini. mjukuu wangu huyu.

ah hawa wanadhana mama zetu wapo kwenye ndoa rahisi...wamevumilia mengi bwana. wewe olewa lakini jua uta-share tuu dushelele la mume wako na vimada huko nje
 
ah hawa wanadhana mama zetu wapo kwenye ndoa rahisi...wamevumilia mengi bwana. wewe olewa lakini jua uta-share tuu dushelele la mume wako na vimada huko nje

Huu ndio ukweli japo unauma.
 

nimemjibu hivyo kwa kuwa kazunguzia wanawake kuwa wabunifu......nimemkumbusha ubunifu ni pande zote mbili....ikibweteka ukasubiri mwenzio atie ndimu penzi utaiona ndoa chungu..... Na nimemkumbusha kuwa wanawake pia wanakinai, akili kichwani mwake

Halafu Asprin my hubby sijakataa pipo wanacheat bana ingawa sitoongelea hilo la kucheat tena loh.....
 
Last edited by a moderator:
pacha nimeitika wito ndo nasoma hapa lithread kisha niingie ku darasa!najua wanafunzi wangu Asprin na wewe mtakuwa mshaharibu sana notes huku,ndo nazipitia nione milfanya nini wakati sipo darasani!

Kwani my pacha huuoni ukweli hapa?..
Hebu pitia huu msredi afu utaniambia...
 

mzee una balaa wewe!
 


Kuna ukweli wa hali ya juu sana kwenye hili na naomba watu wenye hekima wasidharau au dhihaki huu utafiti. Baadhi ya wanawake watapinga kwani ni ukweli unaouma. Baadhi ya wanaume watapinga hapa jukwaani lakini deep inside and in real life huu utafiti ni kweli kwao. Huu utafiti ni wa kweli in real life for more than 70% of men. Tuukubali ukweli huu na kushirikiana kutafuta suluhu au relief and reconciliation.
 


Kuna ukweli mkubwa katika hili pia. Ukweli ambao inabidi tuukubali na kutafuta suluhu, relief and reconciliation.
 

Genius. Umejieleza vizuri kuliko namna yoyote ambayo ningeweza kuelezea mimi. Umeongea kweli tupu.
 
Kwani my pacha huuoni ukweli hapa?..
Hebu pitia huu msredi afu utaniambia...

pacha unajua ndo yale nilikwambi siku ile mwanadamu katika uhalisia wake ni mtu anapenda vitu vipya kila uchao sasa kwa mwanaume kuwa na lust hilo wala si lakupinga tunachopinga sisi na kutoka povu ni kuwa wanawake kwa wanaume they do take this reality for granted,wanawake wanabaki kubweteka wakiamini hata wafanye nini mwanaume ana tamaa na wanaume wancheat wakiamini bila kuwa na mwanamke nje hajakamilika!hapa ndo kwenye shida!sisi ni wanadamu sio wanyama my dears!tuna utashi!haimaaninisha unafuata tu ur ego inavokupeleka!
 


Amina!
 

Bora wewe unalitambua na naamini ukishalitambua hili unaweza kutafuta solution japo ya muda mfupi.
Tatizo wanawake wengi inapokuja 'infidelity' wanalichukulia jambo hili kwa uzito sawa kati ya wanawake na wanaume..sana sana wakiamini busara ya kawaida itachukua mkondo wake. Hata mimi sisemi ni jambo zuri kucheat but jambo linapokuwa 'extreme' inabidi kuliangalia kwa mapana yake!

Hebu nikuulize my pacha snowhite ..suppose ke na me wanakuwa exposed kwenye sehemu flani kwa muda mrefu who do you think ataanza kuhisi njaa ya ngono??..ukinipa jibu sema na 'why'??
 
Last edited by a moderator:

Pacha naona umechanganya madesa..manake naona umeongelea 'social streotype' kwa wanaume na kwa wanawake umeongelea 'biological set up'..nilidhani ungewa'qualify' wote kwenye attributes zinazofanana..Any ways nadhani nimekuelewa kiaina nini unasema!
 
Pacha naona umechanganya madesa..manake naona umeongelea 'social streotype' kwa wanaume na kwa wanawake umeongelea 'biological set up'..nilidhani ungewa'qualify' wote kwenye attributes zinazofanana..Any ways nadhani nimekuelewa kiaina nini unasema!
pacha jumapili hii,si unajua sa ngapi sa hizio nshashiba ugali na tembele nashushia na castle baridi hapa nahisi ndo sababu!
 

sikiliza Asprin unafikir nakataa swala la wewe kucheat? ila ujue kabisa kama unacheat na wewe unacheatiwa tu, manake kama utatoka na mimi basi ujue kuna possibility ya mume wangu kutoka na mkeo na ndivyo ilivyo logically. wafikir hizo sexual desire zipo kwa male peke yake? jua kabisa kama kuna kiatu kinauzwa basi kuna mwenye mguu anayekihitaj kiatu hicho.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…