UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.

Mkuu nakusoma kwa umakini sana,

Hongera sana kwakuwatawala hawa maamuma wetu,

Kweli nimeamini hakuna kijiji kisicho na wazee,

Wafunde ipasavyo mpaka waelewe kuwa Tanzania hakuna mfumo kristu wala ndugu yake mfumo islamu!
 

NDEEEEEEEEEEEEEFU LKN UTUMBO MTUPU!!

teh teh teh teh teh
 
Dini hizi jamani duh kazi ipo! Tunaenda wapi? Tuendelee kusaidiana ndugu
 
Zimeletwa kwa majahazi na leo zinasumbua raia

We mtoto wa kufikia una matatizo sana, hebu lete humu nakala ya dodoso la hiyo tafita.
Tufahamishe 'modelity' ya tafiti yako !..........eti umehoji watu laki tatu !?
Yaani watu wa kujaza uwanja wa mpira wa Taifa mara tano !!!
 
We mtoto wa kufikia una matatizo sana, hebu lete humu nakala ya dodoso la hiyo tafita.
Tufahamishe 'modelity' ya tafiti yako !..........eti umehoji watu laki tatu !?
Yaani watu wa kujaza uwanja wa mpira wa Taifa mara tano !!!

Ikiwa huiamini hii nakala iliyopo, je utaiamini nakala ngumu?
 
Mkuu nakusoma kwa umakini sana,

Hongera sana kwakuwatawala hawa maamuma wetu,

Kweli nimeamini hakuna kijiji kisicho na wazee,

Wafunde ipasavyo mpaka waelewe kuwa Tanzania hakuna mfumo kristu wala ndugu yake mfumo islamu!
Dah sasa nimeamini wewe ni mnafiki,wakiongea watu wengine mambo ya dini wanaharibu uzi
akiandika huyu kamanda mwenzako unampongeza"RASTAFARI NYUMA YA PAZIA LA UKIRISTO"
 
hivyo vitu weka akiba vitahijika kutumika tu,huyu usipokua unajibu hoja zake lengo lake litatimia la kusadikisha watu kuwa islam is like what he say.
Huyu ndio hana kitu kabisa,mwenzake Maxi na mbwa niliwaendesha puta kwenye nyuzi za huko nyuma,mpaka wakiona uzi niko mimi,hawakanyagi.Hawa kazi kununua vyeti feki,na kuiba mitihani,halafu wanasema wamesoma,Aliyesoma hajui hata bible kama iliandikwa BAADA YA KUONDOKA YESU DUNIANI.
 
Hii ilikuwepo kabla ya kabla ya ukristu na uislamu na asili yake ni Ethiopia,
Uislamu ulikuwapo toka wakati wa Adam
AND STRIVE IN HIS CAUSE AS YE OUGHT TO STRIVE ,(with sincerity and under discipline).HE HAS CHOSEN YOU,AND HAS IMPOSED NO DIFFICULTIES ON YOU IN RELIGION :IT IS THE CULT OF YOUR FATHER ABRAHAM .IT IS HE WHO HAS NAMED MUSLIMS ,BOTH BEFORE AND THIS (Revelation);that the Messenger may be witnesses for you ,and ye be witnesses for mankind !So establish regular Prayer.give regular Charity ,and hold fast to Allah!He is your Protector -the Best to protect and the best to help!
Qur-aan 22:78
 
Yericho, huu ni mwanzo mzuri. Ukipata muda ni vema tukajua watumishi wa serikali ni wangapi na imani zao ni zipi? Na hasa kwenye vyeo vya kutamkwa na kwenye mashirika ya umma ambayo wengi wangependa wafanye kazi huko kama BOT, TRA, Mashirika ya hifadhi za jamii kama NSSF etc. Kwetu kuna msemo wa unalipokula nyama tupa mifupa mbali kwani fisi wataangalia ilipo mifupa na kusahau au kutopata hata hisia ya nyama ipo wapi. Tutafakari na kuchukua hatua ya kuzuia chuki za kidini
 
kwani JK mbona anaapishwa na Judge ambaye yeye ndie humteua..
Kwa hiyo huyu Mungu hadi yeye hakuwa na uhakika hadi anahitaji kubatizwa na viumbe wake??!!! Inabidi uwe na akili robo ili hii ikuingie kichwani au pengine chini ya robo kabisa.
 
Nashukukuru sana kwa ushauri huu na changamoto hii mpya!

Nitajitahidi kwa hali na mali pindi nipatapo muda na mtaji!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…