Utafiti gani ulioufanya na unajivunia?

Utafiti gani ulioufanya na unajivunia?

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447
Salam wote jf

Direct to the topic...
Je ni utafiti gan ulioufanya kwa kichwa chako ukijumlisha na your daily life experiences na unajivunia.

Binafsi utafiti wang nilioufanya na najivunia kwa majibu yake ni "asilimia 85% ya wabongo ni vichwa vibovu"

Je wewe utafiti gan ulioufanya na unajivunia kwa majibu yake?
X01650173.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimegundua kuwa mtu mweusi ni Kima aliechangamka.

Imagine nchi kama Tanzania chama cha siasa kinampitisha mtu mwenye file Mirembe kuwa mgombea urais na anapita kuwa Rais.
 
Hamnaga utafit najivunia kama kujua anachepuka na nani....

saa ngapi, anarudi home saa ngapi, Unafanya utafiti wa ivyo...

kwa mtu huishi nae,Hana simu,Hana any social media account...

Piga mautafiti mzee baba hadi kuja gundua A ni a na B ni b nilijiona CIA kinoma....
 
Salam wote jf

Direct to the topic...
Je ni utafiti gan ulioufanya kwa kichwa chako ukijumlisha na your daily life experiences na unajivunia.

Binafsi utafiti wang nilioufanya na najivunia kwa majibu yake ni "asilimia 85% ya wabongo ni vichwa vibovu"

Je wewe utafiti gan ulioufanya na unajivunia kwa majibu yake?View attachment 1848629

Sent using Jamii Forums mobile app
Umewananga wabongo kwakuwa pengine hujaisafiri dunia.. Mimi utafiti ninaojivunia nao ni USHIRIKINA
 
Niliwahi fanya utafiti kutembelea maeneo wadada poa wanajiuza
miaka ya 2014 utafiti ulitimia 2016
Niligundua kona bar ilikuwa ndio chimbo kuu kwa totoz standard na affordable

Buguruni dada poa wengi walevi na wavuta bangi pia wezi

Kisumu bar pale sokota walikuwa si haba mambo safi kidogo tofauti na buguruni

Temeke sudani kwenye vijumba huko ilikuwa ni 2000 yako unapewa mbususu
 
Nilikua nawaza kutengeneza kifaa ambacho kitawasaidia watu wasioweza kujieleza. Yaani unakifunga tu kichwani chenyewe kinaproject either kwa maandishi au kwa sauti kila unachokiwaza. Nigundua kumbe wazee baba waligundua ukipiga bia kadhaa kumbe maneno yanafyatuka tu..Jokes bwana[emoji28]

Ila kiukweli nilitaka kutumia njia kama za Jackow Trachtenberg alivyorahisiha kukokotoa mahesabu magumu ila nikaja kugundua kumbe wenye akili na pesa zao walishagundua wazo langu toka miaka ya 1920s. Niliamua kuachana nalo
Mara nying ukiwa na idea bora kuuliza tu, inawezkan watu washaifany since karne zlizopita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi fanya utafiti kutembelea maeneo wadada poa wanajiuza
miaka ya 2014 utafiti ulitimia 2016
Niligundua kona bar ilikuwa ndio chimbo kuu kwa totoz standard na affordable

Buguruni dada poa wengi walevi na wavuta bangi pia wezi

Kisumu bar pale sokota walikuwa si haba mambo safi kidogo tofauti na buguruni

Temeke sudani kwenye vijumba huko ilikuwa ni 2000 yako unapewa mbususu
Mkuu inaonesha utafit wak ulikuwa practical zaid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom