Utafiti gani ulioufanya na unajivunia?

Utafiti gani ulioufanya na unajivunia?

Salam wote jf

Direct to the topic...
Je ni utafiti gan ulioufanya kwa kichwa chako ukijumlisha na your daily life experiences na unajivunia.

Binafsi utafiti wang nilioufanya na najivunia kwa majibu yake ni "asilimia 85% ya wabongo ni vichwa vibovu"

Je wewe utafiti gan ulioufanya na unajivunia kwa majibu yake?View attachment 1848629

Sent using Jamii Forums mobile app
Kujua kama kipara ni tako dogo
Nakusalim kwa tunguri mkuu
 
Salam wote jf

Direct to the topic...
Je ni utafiti gan ulioufanya kwa kichwa chako ukijumlisha na your daily life experiences na unajivunia.

Binafsi utafiti wang nilioufanya na najivunia kwa majibu yake ni "asilimia 85% ya wabongo ni vichwa vibovu"

Je wewe utafiti gan ulioufanya na unajivunia kwa majibu yake?View attachment 1848629

Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa wanaotukana na kujibu hovyo mitandaoni vinakuwa viwatu flani hovyo sana na hopless na havina nguvu yaani afya zao zinakatisha tamaa ila utakuta kanakuandikia ''katafte pakufia kenge wewe''

Sent from my SM-G988N using JamiiForums mobile app
 
90% ya wadada wanaotukana mtandaoni ni 'wabovu'.

Wadada warembo na wazuri asilimia kubwa huwa hawatukani mtandaoni na ni wachangamfu kiasi.
 
2738551_w1200.jpeg
Kwamba kuna miziki kwenye umeme wa tanesko pia kwa mfumo huu unaweza kusikiliza idhaa za kuzimu🤔🤔🤣🤣🤣🤣.
 
Back
Top Bottom