Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujua kama kipara ni tako dogoSalam wote jf
Direct to the topic...
Je ni utafiti gan ulioufanya kwa kichwa chako ukijumlisha na your daily life experiences na unajivunia.
Binafsi utafiti wang nilioufanya na najivunia kwa majibu yake ni "asilimia 85% ya wabongo ni vichwa vibovu"
Je wewe utafiti gan ulioufanya na unajivunia kwa majibu yake?View attachment 1848629
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakusalim kwa tunguri mkuu
jamaa wanaotukana na kujibu hovyo mitandaoni vinakuwa viwatu flani hovyo sana na hopless na havina nguvu yaani afya zao zinakatisha tamaa ila utakuta kanakuandikia ''katafte pakufia kenge wewe''Salam wote jf
Direct to the topic...
Je ni utafiti gan ulioufanya kwa kichwa chako ukijumlisha na your daily life experiences na unajivunia.
Binafsi utafiti wang nilioufanya na najivunia kwa majibu yake ni "asilimia 85% ya wabongo ni vichwa vibovu"
Je wewe utafiti gan ulioufanya na unajivunia kwa majibu yake?View attachment 1848629
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswa humu jf, wadada wengi wabovu kweli kweli90% ya wadada wanaotukana mtandaoni ni 'wabovu'.
Wadada warembo na wazuri asilimia kubwa huwa hawatukani mtandaoni na ni wachangamfu kiasi.