zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
Mpige mimba m2 utajuaTobaaaaa...nimeanza kutumia Internet nikiwa nina miaka 7 kwahiyo hadi sasa hivi mie kwishney.
Hahahaha! Zubeda nitarudi na majibuMpige mimba m2 utajua
Una watoto wangapi?...lolTobaaaaa...nimeanza kutumia Internet nikiwa nina miaka 7 kwahiyo hadi sasa hivi mie kwishney.
Hata wa kusingiziwa sina...Una watoto wangapi?...lol
Hata wa kusingiziwa sina...
Swahiba nisaidie basi yaani unaniacha hivi hivi tu?Umekwisha swahiba.... Anza mchakato kabla hali haijawa tete.
Dah! Kwahiyo mbegu zinahamia kwenye laptop...lolwalichukua mbegu za kiume za wanaume 29 wenye afya njema wenye umri kati ya miaka 26 mpaka 45,zilikusanywa na kugawanywa makundi mawili.
Kundi moja la mbegu za kiume liliwekwa chini ya laptop inayotumia Wireless internet na jingine liliwekwa mbali na laptop zinazotumia wireles internet.
Matokeo,Robo ya mbegu za kiume zilizokuwa chini ya laptop yenye Wireles internet ziliuliwa ndani ya Masaa machache.Vinasaba vya binadamu vya mbegu za kiume ziliharibiwa vibaya
Kundi jingine zilizokuwa mbali na laptop hzo hazikuonyeshwa kupata na Madhara yoyote zaidi ya kupungua kidogo sana kwa kasi ya kuogelea.
walichukua mbegu za kiume za wanaume 29 wenye afya njema wenye umri kati ya miaka 26 mpaka 45,zilikusanywa na kugawanywa makundi mawili.
Kundi moja la mbegu za kiume liliwekwa chini ya laptop inayotumia Wireless internet na jingine liliwekwa mbali na laptop zinazotumia wireles internet.
Matokeo,Robo ya mbegu za kiume zilizokuwa chini ya laptop yenye Wireles internet ziliuliwa ndani ya Masaa machache.Vinasaba vya binadamu vya mbegu za kiume ziliharibiwa vibaya
Kundi jingine zilizokuwa mbali na laptop hzo hazikuonyeshwa kupata na Madhara yoyote zaidi ya kupungua kidogo sana kwa kasi ya kuogelea.
Kukuacha itakuwa ngumu swahiba, nacheki namna nzuri ya kukusaidia.Swahiba nisaidie basi yaani unaniacha hivi hivi tu?
Hahaha!Dah! Kwahiyo mbegu zinahamia kwenye laptop...lol