sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,419
Kaka mkali mie nakusalimu kwa amani ya bwana.Napenda sana kuzungumzia conclusive proof. Sasa tuone wale watu wenye kutegemea tafiti zisizo na ushahidi wa kutosha kuleta hitimisho kama wataacha kutumia kompyuta.