Utafiti-internet yapunguza nguvu za uzazi.

Napenda sana kuzungumzia conclusive proof. Sasa tuone wale watu wenye kutegemea tafiti zisizo na ushahidi wa kutosha kuleta hitimisho kama wataacha kutumia kompyuta.
Kaka mkali mie nakusalimu kwa amani ya bwana.
 
duh, ndo mana mwaka wa 8 mke wangu hana hata dalili za kuomba ndimu.
 
Wanaomiliki laptop Africa ni wachache so haina impact sana.
Mfano 80% ya watz ni wakulima na kati ya hao wenye laptop hawafiki 10%
 
Mimi nitaendelea kuweka laptop yangu juu ya mapaja 7bu MBEGU ZA KIUME zinasaidia kuongeza speed kwenye internet. Net inafunguka fasta, jaribu kuweka juu ya meza na juu ya paja utaona tofauti yake.
 
Wanao weka wa weke...soko la dawa za nguvu za kiume halitaisha
 
Mimi nitaendelea kuweka laptop yangu juu ya mapaja 7bu MBEGU ZA KIUME zinasaidia kuongeza speed kwenye internet. Net inafunguka fasta, jaribu kuweka juu ya meza na juu ya paja utaona tofauti yake.
Aisee haka kautafiti niliisha kafanyia kazi and it works wonders
 
Khaaa! Swahiba na sisi wa jinsia ya tofauti je? Tuwe tunaziweka wapi?
Swahiba inabidi kuwe kuna laptop za wanaume na wanawake maana nikikupa laptop yangu kutumia nakuwa nimekupa mbegu zangu za kiume zilizopo kwenye laptop matokeo yake unakuwa pia na mbegu za kiume aisee hatari sana hii
 
Aisee tumekwisha sasa manake hii noma sana
 
Swahiba inabidi kuwe kuna laptop za wanaume na wanawake maana nikikupa laptop yangu kutumia nakuwa nimekupa mbegu zangu za kiume zilizopo kwenye laptop matokeo yake unakuwa pia na mbegu za kiume aisee hatari sana hii
Hahahaha! Nikivunjika mbavu utanipeleka india ujue, lol
 
duh, ndo mana mwaka wa 8 mke wangu hana hata dalili za kuomba ndimu.
Mhhh hapo kwenye red bold haiwezekani ikawa wewe,jinsi nikutambuavyo kupitia keyboard nadhan itakuwa unamaanisha
'mkwe wangu'....
:A S confused:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…