youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
Kulingana na uwepo wa mitandao mingi yenye kitufe cha kutoa likes, JamiiForums ikiwa miongon mwao , japokuwa inanjia rahisi ya kutoa likes kwa wanaocomment na kushare vitu vya msingi, lakini mara nying mwenye likes nyingi ni 5 tu
Hii inaonesha ni kwakiasi gan watumiaji wamekuwa wavivu wa kusoma comments za wenzao na kuwapongeza , imefikia hatua mpaka watu wanaomba kupewa likes
Tujivunie social media yetu jaman , ngoga likes tembea
ukitumia free basic.utaona like kibao. na kibaya ni kwamba ukitaka kulike huwezi .na mara nyingi unashindwa kulike kitu amabacho umekipenda. unaishia kupita tukama una tumia app ya jf utaona tano tu ila ukiingia bila app sijui wanitaje hii njia like zinafikia hadi laki moja
Kwa JF majukwaa yenye followers weng ni celebrities forum, jukwaa la siasa na la mapenz, ila likes kwa kila thread ikizid sana ni 5 cjui ndo mwisho au vipTatizo sio like. Issue ni uzi au comments zako. Je umeweka uzi kwenye jukwaa husika? Comments zina mashiko kulingana na thread yenyewe? Mana kuna watu wanaweka comments za jokes kwenye nyuzi ambazo zipo may be jukwaa la hoja au siasa, refer barbarosa. Huwezi pata like asilani.
Unazo tano tosha kabisaKulingana na uwepo wa mitandao mingi yenye kitufe cha kutoa likes, JamiiForums ikiwa miongon mwao , japokuwa inanjia rahisi ya kutoa likes kwa wanaocomment na kushare vitu vya msingi, lakini mara nying mwenye likes nyingi ni 5 tu
Hii inaonesha ni kwakiasi gan watumiaji wamekuwa wavivu wa kusoma comments za wenzao na kuwapongeza , imefikia hatua mpaka watu wanaomba kupewa likes
Tujivunie social media yetu jaman , ngoga likes tembea
hapo sawa...!kama una tumia app ya jf utaona tano tu ila ukiingia bila app sijui wanitaje hii njia like zinafikia hadi laki moja