mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Polee mwamba so chai unapika mwenywehapana mkuu, wala sitarajii arudi. nipo na maisha mapya sasa hivi
Jamaa akisha kusanya takwimu atatuambia hali ipojeaisee,, kuna ka ukweli fulani hapa
Tupo hapa mkuu [emoji23][emoji23] naomba vocha iyooNitatoa 10,000 kwa kila alieolewa bikra humu....najua pesa yangu iko salama!πππ
T&C apply.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine hatujui hata ilitoka tokaje!
Mimi hapa niliolewa bikra, nipe 10,000 yangu. Maana ahadi ni deniNitatoa 10,000 kwa kila alieolewa bikra humu....najua pesa yangu iko salama!πππ
T&C apply.
Njoo nikupimeMimi hapa niliolewa bikra, nipe 10,000 yangu. Maana ahadi ni deni
Whaaaaat? Utapimaje bikra iliyotolewa miaka kadhaa nyuma?[emoji848][emoji848][emoji848]Njoo nikupime
Utanionesha cheti cha ndoa, then napima najua kama ilikuwepo hadi muda huo unaolewa.Whaaaaat? Utapimaje bikra iliyotolewa miaka kadhaa nyuma?[emoji848][emoji848][emoji848]
Kwanini nisikutumie namba ya simu ya mume wangu umpigie ili akuthibitishie?[emoji12][emoji12][emoji12]Utanionesha cheti cha ndoa, then napima najua kama ilikuwepo hadi muda huo unaolewa.