Naona unataka kuanzisha WW3Kwanini nisikutumie namba ya simu ya mume wangu umpigie ili akuthibitishie?[emoji12][emoji12][emoji12]
Aisee.Hili LA bikra mpaka nahisi naweza kufa sijatoa hata moja, najiuliza ina maana ndio basi tena? Wanawake tunzeni hii kitu muhimu sana mwanaume anaweza kumuamini mwanamke kwa asilimia mia hata kama baadae atakua ana cheat,
[emoji23][emoji23][emoji23]Mi nahisi kukata 90 kuja hku juu huenda hawazaliwi na bikra tusiwahukumu jmn kweli tena nawaambia!
hahaha chief haujawai kuibahatisha bikra hata mara moja nn?Mi nahisi kukata 90 kuja hku juu huenda hawazaliwi na bikra tusiwahukumu jmn kweli tena nawaambia!
Na wana motocha 90s ndio balaa...unajua aliezaliwa 1990 sasa hivi ana 28yrs!
Inatoka pale unapojikojolea kwa mara ya kwanza toka ulipozaliwa.Mbona bikra wa kiume hatupewi kipaombele sana.
Evolution take placeMi nahisi kukata 90 kuja hku juu huenda hawazaliwi na bikra tusiwahukumu jmn kweli tena nawaambia!
Shost mambo,[emoji4]He he
Duuh,una kiu na bk mzee mwenzangu,. Nikuambie kitu[emoji16][emoji16]??Hili LA bikra mpaka nahisi naweza kufa sijatoa hata moja, najiuliza ina maana ndio basi tena? Wanawake tunzeni hii kitu muhimu sana mwanaume anaweza kumuamini mwanamke kwa asilimia mia hata kama baadae atakua ana cheat,
niambie mzee mwenzanguDuuh,una kiu na bk mzee mwenzangu,. Nikuambie kitu[emoji16][emoji16]??
mkuu tuko wengi sikumoja Niko Lodge Na sikia upande wa pili kilio Niko Na gume gume langu. Nika amuua kutoka isije ikawa guest ina waka moto, nikakuta Jamaa kang'atwa damu zinamvuja alikuwa anajalibu kutoa bikra, isee nilipata ganzi kurudi room ambapo ni kama mita tatu hadi gume gume likafungua Mlango Na kuniita. Hakika hamu iliniisha kabisa nakawa nawaza tukio hilo. Mpaka sasa umri umeenda na nina watoto wakubwa najiuliza ina maana ndio basi tena?hahaha chief haujawai kuibahatisha bikra hata mara moja nn?
Maana hii kauli yako ina masikitiko ndani yake
Poa shost wangu mie nawasubiri mabikraShost mambo,[emoji4]
Sema ukweri tuuuu acha kushanga shangaa hapa
Jibu unalo mwenyeweSema ukweri tuuuu acha kushanga shangaa hapa
!!!!!!!......... Aliye kutoa bikra sio aliye kupa mimba...........!!!!!!!
Walitaka kuthibitisha tuuu mamiiJibu unalo mwenyewe
HahahahhahhaWalitaka kuthibitisha tuuu mamii