Utafiti: Kahawa huongeza hamu ya wanawake kufanya mapenzi

Utafiti: Kahawa huongeza hamu ya wanawake kufanya mapenzi

Bujibuji hapanic, Wala sijawahi kupanic.
Tatizo lenu Watanzania mnadhani siasa ndio kila kitu.
Hata tukiwaulizeni maswali ya siasa hamna majibu yake.
Nilicho post Mimi is a scientific research, na kwa taarifa yako hii research imegharimu muda mrefu na fedha nyingi.
Tanzania hatuendelei kwasababu hatufanyi tafiti, hata tafiti zilizokwisha kufanyika tunazidharau
Achana nae bna.sex ndo kila kitu bila nyege angezaliwa?
 
Bujibuji umetisha sana na hii tafiti.
Sasa endelea kutafiti kwa kufanya jaribio hili kwa binadamu kisha uje na mrejesho.
Tafiti hupingwa kwa tafiti. Hujatafiti hauna haki ya kuongea.
Kamilisha tu mzee baba kisha tupate the other side of the coin
 
Back
Top Bottom