Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
Salama wakuu,
Wakuu wana JF, Tunafanya utafiti kuhusu Mchango wa mitandao ya kijamii kwenye demokrasia Tanzania.
Lengo la utafiti huu ni kutafuta taarifa zitakazojibu maswali mbalimbali kuhusu uhusiano wa mitandao ya kijamii na demokrasia.
Maswali yanayohitaji kupatiwa majibu ni pamoja na swali, je! Mitandao ya kijamii inasaidia kukua kwa demokrasia au inaharibu demokrasia iliyopo.
Katika utafiti huu, watafiti wataisoma zaidi jamiiforums miongoni mwa mitandao mingine.
Kama ikikupendeza, tunakuomba kusadia kujibu maswali machache kwa kubonyeza link. Ni maswali rahisi sana sana na yanahitaji muda mfupi sana kujibu.
Asante.
Wakuu wana JF, Tunafanya utafiti kuhusu Mchango wa mitandao ya kijamii kwenye demokrasia Tanzania.
Lengo la utafiti huu ni kutafuta taarifa zitakazojibu maswali mbalimbali kuhusu uhusiano wa mitandao ya kijamii na demokrasia.
Maswali yanayohitaji kupatiwa majibu ni pamoja na swali, je! Mitandao ya kijamii inasaidia kukua kwa demokrasia au inaharibu demokrasia iliyopo.
Katika utafiti huu, watafiti wataisoma zaidi jamiiforums miongoni mwa mitandao mingine.
Kama ikikupendeza, tunakuomba kusadia kujibu maswali machache kwa kubonyeza link. Ni maswali rahisi sana sana na yanahitaji muda mfupi sana kujibu.
Asante.