Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yao huwa mabovu kwa sababu hawafuatilii mambo, kila jambo wao wanalipuuzia.
LIKUD embu twende taratibu!
Unafahamu nini ukiskia IQ? Or unaposema IQ unamanisha nini?
LIKUD kuwa muelewa basi!
Unafahamu nini ukiskia IQ?
Hiyo link wameeleza IQ vile wanavyoielewa wao, na vile vile hawajasema madisminder wanakua na IQ ndogo kama ulivyoelezea wewe!
...
Sababu ya kukuuliza hivyo, nataka nihusishe definition yako wewe na maelezo uliyotoa!
...
Embu niambie, unafahamu nini ukiskia IQ?
Kama una maoni tofauti tiririka watu tujifunze brother, naweza nikawa sipo sahihi, ndo maana nimeleta hapa watu wajadili,.
U dis-minder ni fresh sana hasa kwenye daladala. Unakuta mtu kwenye siti ya pembeni anajaribu kuleta story za ccm na chadema na ufisadi, basi hapo waga naweka earphones kwa simu na kuanza kusikiliza ngoma.
He is already doing one replying JF posts hahahafind one then lol.....