Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Off course reliability ya Toyota ni Kwa dunia nzima.Mkuu ukipima reliability ya gari kwa kutumia criteria za wabongo basi utasema reliable cars dunia nzima ni toyota tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Off course reliability ya Toyota ni Kwa dunia nzima.Mkuu ukipima reliability ya gari kwa kutumia criteria za wabongo basi utasema reliable cars dunia nzima ni toyota tu
Nafahamu hilo ila kwa criteria za wabongo reliable cars ni toyota pekee ilihali duniani reliable cars ziko nyingi tuOff course reliability ya Toyota ni Kwa dunia nzima.
Engine nyingi za BM kuanzia 2015 kuja huku mbele ni mawe.Kweli sema inashangaza BMW kuwa juu ya Subaru ,Benzi na Aud
Mjerumani anatengeneza gari moja anauza dunia nzima, tofauti itakuwepo kidogo sana kwenye emission standards. Siyo kama mjapaniHizo takwimu zimeandliwa na time ya uchaguzi?
BMW inashika nafasi ya 3? Au inawezekana BMW zinazouzwa marekani ni tofauti na hizi zinazoahinda garage kilasiku.
Wazungu wanajiuliza kilasiku inakuaje Toyota anatengeneza magari imara kama treni wanakosa majibu ndiyo maana kampuni ya Toyota bado imegoma kutengeneza magari ya umeme Hadi Leo na kulikuwa na ubishani mkubwa kwenye kampuni ya Toyota namna gani wataingia kwenye ulimwenguni wa EV's.
Baada ya research ya muda mrefu kampuni ya Toyota wamependekeza utumiaji wa HYDROGEN CELLS badala ya UMEME kitu ambacho hata Mimi nakubaliana nao
Ila kuanzia BM za 2015 naona kuna uafadhali ukilinganisha na hizi za early 2000.Wapumbavu hao unakuta wanaongelea BMW za 2023.
Kibongo bongo bado BMW sio gari ya kila mtu. Oil fake, petrol ina lots of contaminants, temperature iko juu, parts fake ukifunga after a while zinazingua, ingawa ni chuma unyama sana
BMW unaifananisha na Subaru? Are you serious?
Labda sisi hatuna mafundi