The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Utafiti mpya unaonyesha kua wanaume wa kanda ya ziwa hupewa kipaumbele kikubwa na sehemu kubwa ya wanawake wa Tanzania. Utafiti huu unafanywa na taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na mambo ya kijamii, utafiti huu utachapishwa hivi karibuni kwenye magezati na mitandao ya kijamii. Mimi natoa tips tu.
Katika utafiti huo zaidi ya wanawake 3000 kutoka mikoa mbali mbali na makundi mbali mbali ya umri wanasema wangependelea kuolewa na wanaume wa kanda ya ziwa.
Sababu kubwa wanazotaja wanawake hao ni kua wanaume wa kanda ya ziwa wako masculine, physique zao zinavutia wakimaanisha wana miili ya kiume. Wanawake wengi walidai kua wanaume wengi wa kanda ya ziwa ni wapole, wastaarabu na pia ni wahongaji wazuri. Hili la kuhonga vizuri lilisemwa na wanawake wanaofanya biashara ya kuuza miili yao, aanasema mwanaume msukuma au mkurya akienda hana muda wa kunegotiate, akiambiwa 50 yeye anatoa bila shida anapiga kazi yake anaondoka lakini wahaya walionekana kua sio watoaji wazuri na wengine walifikia hatua ya kusema mhaya anaweza kutapeli mbunye, ila kwa ujumla kanda ya ziwa inaongoza kwenye huo utafiti ikifatiwa na wanaume wa nyanda za juu kusini.
Wanaume wa kanda ya kasikazini kwenye kipengele cha mapenzi walionekana wa mwisho kuanzia kuhonga, kubembeleza na kujali. Wanaume wa kanda ya pwani wamekua wa mwisho kwenye overal. Maneno mengi hakuna kitu.
Utafiti huo utachapishwa hivi karibuni.
Katika utafiti huo zaidi ya wanawake 3000 kutoka mikoa mbali mbali na makundi mbali mbali ya umri wanasema wangependelea kuolewa na wanaume wa kanda ya ziwa.
Sababu kubwa wanazotaja wanawake hao ni kua wanaume wa kanda ya ziwa wako masculine, physique zao zinavutia wakimaanisha wana miili ya kiume. Wanawake wengi walidai kua wanaume wengi wa kanda ya ziwa ni wapole, wastaarabu na pia ni wahongaji wazuri. Hili la kuhonga vizuri lilisemwa na wanawake wanaofanya biashara ya kuuza miili yao, aanasema mwanaume msukuma au mkurya akienda hana muda wa kunegotiate, akiambiwa 50 yeye anatoa bila shida anapiga kazi yake anaondoka lakini wahaya walionekana kua sio watoaji wazuri na wengine walifikia hatua ya kusema mhaya anaweza kutapeli mbunye, ila kwa ujumla kanda ya ziwa inaongoza kwenye huo utafiti ikifatiwa na wanaume wa nyanda za juu kusini.
Wanaume wa kanda ya kasikazini kwenye kipengele cha mapenzi walionekana wa mwisho kuanzia kuhonga, kubembeleza na kujali. Wanaume wa kanda ya pwani wamekua wa mwisho kwenye overal. Maneno mengi hakuna kitu.
Utafiti huo utachapishwa hivi karibuni.