Elewa mada inaongelea Nini badala ya kupost tu bila kujielewa .tunaongelea kipindi Cha November kila mwaka ambacho kinasemekana mito hukauka na mabwawa ya kuzalisha umeme kukosa majiTANESCO mkoa wa Iringa mna shida gani? Kwanini kila siku kata ya Ifunda inakosa umeme?
Tangu tarehe 1 mwezi wa 1, wana Nchi walisherekea sikukuu ya mwaka mpya bila umeme. Umeme ulikata kuanzia saa saa 12 jioni, mpaka saa 4 usiku ndiyo mkarudisha. Tangu tarehe moja mwezi huu, mpaka leo hii tarehe 7, mmekuwa mnakata umeme kila siku. Mna kata umeme saa 2 asubuhi au saa 8 mchana...www.jamiiforums.com
Nini kinacho Endelea kigamboni na Mgao wa Umeme???
Habarini ndugu & jamaa wa JF. Niliwahi kuishi kigamboni kwa miaka 3 na miezi kadhaa.... kwa kipindi hicho umeme ulikuwa unakatika sana hakuna mfano, pia ulikuwa unakawia kurudi...... kwa wiki, wastani wa umeme kukatika ilkuwa kama mara 16/wiki. Sasa nimekuja huku kama wiki mbili zilizopitz...www.jamiiforums.com
Elewa mada inaongelea Nini badala ya kupost tu bila kujielewa .tunaongelea kipindi Cha November kila mwaka ambacho kinasemekana mito hukauka na mabwawa ya kuzalisha umeme kukosa maji na kusababisha mgao wa Maji na umemeexpand...
Umeelewa bandiko!! ana una comment hovyo hovyo!!.?Nenda kamfufue
Elewa mada inaongelea Nini badala ya kupost tu bila kujielewa .tunaongelea kipindi Cha November kila mwaka ambacho kinasemekana mito hukauka na mabwawa ya kuzalisha umeme kukosa maji na kusababisha mgao wa Maji na umeme
FANYA PIA UTAFITI NJE YA JAMII FORUM ILI TUJUE KAMA NCHI YETU ILIWAHI KUSHUHUDIA UKAME KAMA HUU KUPINDI HICHO. UTUJUZEJamiiforums Ni eneo ambalo watu wakiona kero huwa hawaiachi na Hakuna wa kuwazuia wasiandike
Nimejitahidi kufanya utafiti kupitia nyuzi zote za kipindi chote Cha utawala wa Magufuli mwezi Kama huu wa 11 miaka yote ya utawala wa Magufuli baada ya kuapishwa kuanzia 2016 November Hadi 2020 November nikaangalia vipindi vyote vya November miaka yote hakukuwa na malalamiko ya wananchi humu jamii forums ya tatizo la umeme kukatikatika nchi nzima Kama Wala la maji ya ratiba ya mgao Dar es salaam
Nilifanya hivyo sababu wengine wanadai Ni kawaida kipindi Kama hiki Cha November huwa na hiyo shida hivyo kuletelea shida ya tatizo la maji na umeme.Hilo lalamiko sikuliona kipindi chote Cha Magufuli humu Jamiiforums watu wakiibua threads za malalamiko Kama sasa
Tafsiriri yake Nini ?
Elewa mada inaongelea Nini badala ya kupost tu bila kujielewa .tunaongelea kipindi Cha November kila mwaka ambacho kinasemekana mito hukauka na mabwawa ya kuzalisha umeme kukosa maji na kusababisha mgao wa Maji na umeme
Nchi imekosa uongozi madhubuti,tumerudi enzi za ubabaishaijiJamiiforums Ni eneo ambalo watu wakiona kero huwa hawaiachi na Hakuna wa kuwazuia wasiandike
Nimejitahidi kufanya utafiti kupitia nyuzi zote za kipindi chote Cha utawala wa Magufuli mwezi Kama huu wa 11 miaka yote ya utawala wa Magufuli baada ya kuapishwa kuanzia 2016 November Hadi 2020 November nikaangalia vipindi vyote vya November miaka yote hakukuwa na malalamiko ya wananchi humu jamii forums ya tatizo la umeme kukatikatika nchi nzima Kama Wala la maji ya ratiba ya mgao Dar es salaam
Nilifanya hivyo sababu wengine wanadai Ni kawaida kipindi Kama hiki Cha November huwa na hiyo shida hivyo kuletelea shida ya tatizo la maji na umeme.Hilo lalamiko sikuliona kipindi chote Cha Magufuli humu Jamiiforums watu wakiibua threads za malalamiko Kama sasa
Tafsiriri yake Nini ?
Hongera Mkuu kwa mada yako..Jamiiforums Ni eneo ambalo watu wakiona kero huwa hawaiachi na Hakuna wa kuwazuia wasiandike
Nimejitahidi kufanya utafiti kupitia nyuzi zote za kipindi chote Cha utawala wa Magufuli mwezi Kama huu wa 11 miaka yote ya utawala wa Magufuli baada ya kuapishwa kuanzia 2016 November Hadi 2020 November nikaangalia vipindi vyote vya November miaka yote hakukuwa na malalamiko ya wananchi humu jamii forums ya tatizo la umeme kukatikatika nchi nzima Kama Wala la maji ya ratiba ya mgao Dar es salaam
Nilifanya hivyo sababu wengine wanadai Ni kawaida kipindi Kama hiki Cha November huwa na hiyo shida hivyo kuletelea shida ya tatizo la maji na umeme.Hilo lalamiko sikuliona kipindi chote Cha Magufuli humu Jamiiforums watu wakiibua threads za malalamiko Kama sasa
Tafsiriri yake Nini ?
KamfufueJamiiforums Ni eneo ambalo watu wakiona kero huwa hawaiachi na Hakuna wa kuwazuia wasiandike
Nimejitahidi kufanya utafiti kupitia nyuzi zote za kipindi chote Cha utawala wa Magufuli mwezi Kama huu wa 11 miaka yote ya utawala wa Magufuli baada ya kuapishwa kuanzia 2016 November Hadi 2020 November nikaangalia vipindi vyote vya November miaka yote hakukuwa na malalamiko ya wananchi humu jamii forums ya tatizo la umeme kukatikatika nchi nzima Kama Wala la maji ya ratiba ya mgao Dar es salaam
Nilifanya hivyo sababu wengine wanadai Ni kawaida kipindi Kama hiki Cha November huwa na hiyo shida hivyo kuletelea shida ya tatizo la maji na umeme.Hilo lalamiko sikuliona kipindi chote Cha Magufuli humu Jamiiforums watu wakiibua threads za malalamiko Kama sasa
Tafsiriri yake Nini ?
Sawa kamfufue basiNikupe jibu kitu ambacho Ni very interesting
Kipindi Cha utawala wa Kikwete umeme ulikuwa ukikatika katika Sana na maji kusumbua Kama sasa kipindi Cha Samia Hadi Kikwete akaagiza mitambo fisadi ya kufua umeme!! Kwa visingizio tunavyopewa leo ohh mifugo oh Mabadiliko Tabia nchi ohh kina Cha maji nk
Magufuli kuingia kasema Kuna hujuma Tanesco akaitupilia mbali mitambo ya kufua umeme ya kukodi na umeme ukawaka kipindi chote na maji sijui aliyatoa wapi yakawepo!!!
Matatizo ya kipindi Cha Kikwete mbona yanajirudia kipindi Cha Mama Samia? Yaliruka kipindi Cha Magufuli yamekuja kutua kipindi Cha Mama Samia Huoni.kuna tatizo kubwa Mahali?
Elewa mada inaongelea Nini badala ya kupost tu bila kujielewa .tunaongelea kipindi Cha November kila mwaka ambacho kinasemekana mito hukauka na mabwawa ya kuzalisha umeme kukosa maji na kusababisha mgao wa Maji na umeme
CCM NI ILE ILE 😧Nchi imekosa uongozi madhubuti,tumerudi enzi za ubabaishaiji
Magufuli alielewa namna ya ku deal nalo akasema ni ufisadi tu hakuna Cha uongo wa kina Cha maji Wala mabwawa ya kuzalisha umeme kukauka Ni hujuma za kifisadi tu akawashuguulikia barabara mitambo ya IPTL na Dowans akaikataa kuitumia akashughulika na mifisadi ya Dawasa yenye miviongozi ya Dawasa ambayo ilikuwa na miboza migari ya kuuza maji.Maji yakawa yanatoka vizuri bila mgao .Miboza yao ikapakiNendeni kwenye kaburi lake we na gwajima mufufue..
Badala uwaze namna ya kudeal na hii hali we daily unamuwaz mtu ashakufa
Hao ni watu walio taka kumugujumNaunga hoja mkono, ila kulikua na malalamiko ya miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, wengine wakipotea tu, wengine wakiondoshwa kazini, wengine wakipewa kesi za uhujumu uchumi....katikati ya hayo yote hata umeme ukikatika utauwazia kweli??
Eti nini?Hao ni watu walio taka kumugujum