Utafiti niliofanya ndani ya JamiiForums kwa kipindi kama hiki miaka ya utawala wa Magufuli hakukuwa na malalamiko ya umeme kukatika mara kwa mara

tafsiri yake kuna viongozi katika awamu hii hawawajibiki ipasavyo! Ni kweli kipindi cha mwendazake hakukua na tatizo la umeme wala mgao wa maji! Na ninakumbuka aliingia madarakani november 2015 nchi ilikua katika ukame kama sasa
 
Kabisaaaa, kuna tatizo mahali yaani kuna mambo yanakera sana nchi hiii basii tu!
 
Hiyo ndio furaha ya wapinzani uchwara wa nchi

Namwona fisadi Zito alivyo mwongo na tapeli anayejua anachokitaka na anapambana kupata

Mjue tuu watanzania wa sasa sio wale alokua akiwajua enzi zile

Tanzania ni tajiri
Huyo zitto anafahamika!!kuna watu wakiwa madarakani huezi kumsikia anawapinga!tunamjua tabia zake za..........
 
Hivi Gwajima si ana uwezo wa kufufuwa wafu?

Ni kwa nini asimfufuwe huyo mungu wenu shetani wa kuzimu badala ya kutupigia kelele hapa kila siku?

Stupid.
 
tafsiri yake kuna viongozi katika awamu hii hawawajibiki ipasavyo!!ni kweli kipindi cha mwendazake hakukua na tatizo la umeme wala mgao wa maji!!na ninakumbuka aliingia madarakani november 2016 nchi ilikua katika ukame kama sasa
2016 kulikuwa na uchaguzi upi?
 
Ninashauri Mkuu wa Majeshi Venance Mabeyo Afanye Ziara Kwenye Vyanzo Vya Umeme Tanzania yote ahakikishe Uhaba wa Maji kama kweli upo au tunadanganywa. Na endapo tunadanganywa AONGOZE NCHI!
 
Kuna kipindi fulani Mzee aliwahi kusema kuna watu wanakata umeme kwa makusudi kuonekane kuna uhaba halafu linaundwa zengwe, kisha inaletwa kampuni ili izalishe umeme na kuliuzia shirika. Baada ya kulikemea hilo na kuahidi vibarua vyao kuviootesha nyasi lilikoma mara moja. na hata palipokuwa na maintenance ilifahamika.

changamoto huwa zipo hivyo tuendelee kuvumilia, ila wasilete ngonjera za kununua umeme kwa wazalishaji binafsi ili kufidia tatizo hapo lazima tuhisi ni upigaji maana tulipotoka tunapajua.
 
naunga mkono hoja
 
Tena huyo Tajiri Tanzanite ni pro CCM na pro JPM wa kutupwa.
YEHODAYA wewe ni muongo kama CCM mwingine yeyote. Hujafanya tafiti bali ni bla bla na uongo kama kawaida yenu.
 
Utafiti JamiiForums unaendelea

Kwa utafiti nikiofanya kwenye hii mada yangu niliyoanzisha Kama mwana CCM ya kukosoa Serikali yangu humu nimegundua kitu Cha aja

Upinzani hasa Wana Chadema wa humu JamiiForums ndio wanaongoza kupinga mada Yangu na kutetea msimamo wa serikali iliyopo sasa kwa nguvu hasa .Hadi Raha.

Kumbe yawezekana Chadema kuungana na serikali na kuachana na upinzani wao


Wamegeuka kuwa ndio watetezi wakubwa wa serikali ya Sasa kwenye hii mada yangu kwa wingi wao


.CCM hoyeeee .
 
Kifupi jamaa wameanza kutuibia Tena Kama enzi za Msogagang.
Huenda hata ile mita ya kusoma mafuta bandarini imeshacuepushwa tena.

JK tuache tupumue!ulitutesa Sana na mgao enzi zako,hajaridhika mlizochuma?
 
We mjane wa mwendazake hata enzi za mungu wenu mgao na kukatika katika kwa umeme kulikuweponsana.
 
Unajua kabisa kwa sasa Kila kinacho enda kombo wanamsingizia mwendazake,wtz nao wameacha washitukia kwa hiyo ngoma inogile owongo mwingii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…