Utafiti: Polisi wa Kenya wameua watu 15 na kujeruhi wengine 31 wakati wa 'ku-enforce Curfew'

Utafiti: Polisi wa Kenya wameua watu 15 na kujeruhi wengine 31 wakati wa 'ku-enforce Curfew'

Unabisha usichokijua wewe. Ile kelele ilipigwa hapa hadi raisi mwenyewe akaomba msamaha kwa hilo. Sisi hujitambua sana.
Hata Trump ameomba radhi na anachukua hatua, na askari husika anachukuliwa hatua pia askari waliwapigia Magoti waandamanaji.
Yote hayo hamkuyaona mkaandamana lakini kwenu mnasema rais aliomba msamaha?
Kuna remote iko nnje inawaongoza majirani zetu.
 
Back
Top Bottom