Utafiti: Sababu ya wanawake kupiga kelele wakati wa kujamiiana

Utafiti: Sababu ya wanawake kupiga kelele wakati wa kujamiiana

Wengine wezi na waongo tu.
Yaani milio yao badala ya kuhamasisha inakera kama taarifa ya msiba
 
Linakera jitu lenyewe ovyo.. lina leta mambo ya wacheza kideo wa kizungu kwenye shughuli za kibongo
Alihis anakupa mzuka kumbe ndo anaharibu


Kuna Ile mtu analia mwanaume anafeel kabisa huyu mziki unamkolea

Ila mpaka mambo ya matusi mhmh hio namba nyingine hio..

Ukuni ukikolea Kuna Ile miguno/ kilio fulani hivi amazing ambayo ni automatic



Cc Smart911
 
Kwa kweli nyiramba ladies mmebarikiwa milio hamasishi. Coz hata msibani mko juu kwa uliaji. Yaani huwa mnaimba au mnalia?
Cc. Nyiramba girl
 
Kwa kweli nyiramba ladies mmebarikiwa milio hamasishi. Coz hata msibani mko juu kwa uliaji. Yaani huwa mnaimba au mnalia?
Cc. Nyiramba girl
mi niliwahi kumuliza demu kwa nini huguna na kuzamisha mboni za macho na konena sehemu nyeupe tu ya macho alinijibu yeye hajui kama hivyo vinafanyika wakati wa makasheshe mi huyu nafikili ni mkweli hawa wengine ni majambazi tu.
 
Alihis anakupa mzuka kumbe ndo anaharibu


Kuna Ile mtu analia mwanaume anafeel kabisa huyu mziki unamkolea

Ila mpaka mambo ya matusi mhmh hio namba nyingine hio..

Ukuni ukikolea Kuna Ile miguno/ kilio fulani hivi amazing ambayo ni automatic



Cc Smart911
Hahaha... Ukiona mpaka matusi ujue huyo ana igiza...
 
Sasa kuna wengine maneno yanakuwa kero. .mara f***k me mara ninanihii yaan ovyo ovyo bora miguno ya kawaida ..niliwai pata kiumbe inatukana hadi unakosa mood maneno ovyo ovyo tuu adi leo na mruka km 100 akiniomna game.
Hahahahaha

Kuna wengine ndo yanawapa mzuka lakn

Ila vimaneno nnavyozungumzia mimi ni vya kimahabaa
 
[emoji15] [emoji1] [emoji1] unavijua sana
Unajua kila mtu ana vinemo vyake na wapo pia ambao hawaongei kabisa unakuta anaguna tu na shiishii kibao. Sasa wewe vyakwako ndo navitaka
 
Unajua kila mtu ana vinemo vyake na wapo pia ambao hawaongei kabisa unakuta anaguna tu na shiishii kibao. Sasa wewe vyakwako ndo navitaka
Vile vinakujaga tu vyenyewe[emoji4] [emoji4]
 
Back
Top Bottom