Utafiti: Sababu ya wanawake kupiga kelele wakati wa kujamiiana

imebidi nifungue huu uzi maana kuna jirani kahamia hapa nilipo ni hatari kukuru kakara kama zote
 
Kwa kuwa hakuna madhara mie naona pale mambo yanaponoga tutoe tu hizo sauti sababu faida yake tayari imeshaonekana.

Ila mleta uzi zile sio kelele bana.
Ahsante kwa muongozo Dada yangu[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mimi nikiliskia neno mahaba yaani hata mwili unasisimka kimahaba!!!
 
Wa siku hizi wanaigiza tu sauti/ milio yao Wala haiendani kbsa na tendo..anakuigizia sauti ili udhanie umemfikisha kunako ndo umpe pesa
 
Hua wanalilia hela zetu tu hamna chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…