Utafiti: Sababu ya wanawake kupiga kelele wakati wa kujamiiana

MIMI MWANAMKE AKTOA SAUTI NAMZIBA MDOMO.

NINA DALILI ZANGU ZA KUJUA KAFKA KILELEN AU NAMKUNA IPASAVYO, SYO SAUTI.
 
tafiti yako bla shaka ili jumuisha wote vidimbwi na mabwawa
 
66%+87%=153%
Wanastatistics tunaita upikaji wa takwimu[emoji23] [emoji23].
 
Kwa kuwa hakuna madhara mie naona pale mambo yanaponoga tutoe tu hizo sauti sababu faida yake tayari imeshaonekana.

Ila mleta uzi zile sio kelele bana.
Best ktk ubora wake, hahaaaaa nimecheka eti faida yake tayari imeishaonekana

Kwa kweli endeleeni tu bana, mtusaidie kuendelea kujiamini na vibamia vyetu, teh!
 
Napenda mdada anaetoa kelele za mahaba wakati wa tendo huwa inanipa hamasa na kujiamini kama mwanaume wa kweli ,,, mwanamke ambaye hatoi miguno huwa ananikata stimu na wala siwezi kumrudia tenaa....
haaaa sasa kumbe zina faida pande zote mbili eeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…