kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Mi naona hao ndo wakweli mkuuNa wasiotoa milio ya mahaba je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi naona hao ndo wakweli mkuuNa wasiotoa milio ya mahaba je?
Inna wewe....Tunadanganya tu ili mjiamin...utafiti wa ukweli
Usiwe unalia tena!Vilio vya Wanawake ni fifty fifty
Vya wanaume ndo vinamaanisha utamu
Vilio vitamu vile aisee, siyo vya kukimbiaUtakua unakimbia kulilia sio bure
Ndio best tena kwa wale wanaokutana na hao wenye viungo vya mboga wazidishage tu hayo makelele ili wahusika wapate kufarijika. [emoji85].Best ktk ubora wake, hahaaaaa nimecheka eti faida yake tayari imeishaonekana
Kwa kweli endeleeni tu bana, mtusaidie kuendelea kujiamini na vibamia vyetu, teh!
Mimi apaInna wewe....
Kumbe wewe Ile lia yako ni fake?Mimi apa
Hahahahaaa.. Alafu ujue tar 14 ni keshoKumbe wewe Ile lia yako ni fake?
Aisee sikujua Ujue...
Lakin mbona huwa mpaka macho umelegeza!!!!
bora wewe umekuwa mkweli...Tunadanganya tu ili mjiamin...utafiti wa ukweli
Kesho ntakununulia Bazooka na Maua mekundu[emoji6] [emoji115]Hahahahaaa.. Alafu ujue tar 14 ni kesho
Ile siku umenipa elfu laki moja ndo siku fake zingine zote nafake
Kwasababu Baba ataskia Kelele na kuja ghetto ?Mimi akianza Julia au kutoa sauti naacha show navaa naondoka.
Asante lkn hayo maua pelekea nyukiKesho ntakununulia Bazooka na Maua mekundu[emoji6] [emoji115]