Utafiti: Sababu ya wanawake kupiga kelele wakati wa kujamiiana

Utafiti: Sababu ya wanawake kupiga kelele wakati wa kujamiiana

Saut ndio mpango mzima na stim inaongezeka kwa baba watoto kimya kimya kama mnaiba haipendez
 
Ila nataka kujua. Zamani mke wangu alikuwa haoigi kelele. Lakimi baada ya miaka miwili toka nimwoe akaanza kupiga kelele mpaka leo hii. Unataka kusema sababu ni hizo tu?
 
Ndio best tena kwa wale wanaokutana na hao wenye viungo vya mboga wazidishage tu hayo makelele ili wahusika wapate kufarijika. [emoji85].

Pia najenga picha zile sauti za kuongopea zinavyokuwa lol. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hahaaa ujue nilikuwa sijaelewa vizuri unamaanisha nini kusema viungo vya mboga, duuh haya bwana!!
 
Back
Top Bottom