Utafiti: Sababu ya wanawake kupiga kelele wakati wa kujamiiana

Utafiti: Sababu ya wanawake kupiga kelele wakati wa kujamiiana

Napenda mdada anaetoa kelele za mahaba wakati wa tendo huwa inanipa hamasa na kujiamini kama mwanaume wa kweli ,,, mwanamke ambaye hatoi miguno huwa ananikata stimu na wala siwezi kumrudia tenaa....
Wee jamaa nadhani utakuwa Le Mu2z, yaani mpaka usikie miguno/kelele za mahaba kwa mwenzi wako ndio unajihisi na wewe umemtoa mtu jasho na ilhali akikohoa kinachomoka... [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ww kidume unae jiamin usidat na saut iz inawezekan analia ili mkitoka ak akuombe hela wanawake mtawawez
 
Kamchezo kale katam asikwambie mtu..mi binafsi hua naona napigaga natoaga tu sauti mambo yakizidi utamu..unajikuta unaropoka maneno mengine hata aibu kusema
 
Kuna wakati utamu unazidi mnajikuta wote mnapiga yowe na vilio juu kama mmeletewa taarifa za msiba
 
Back
Top Bottom