Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
Kuna uwezekano baada ya miaka mitano Tanzania itakuja kuwa super power sio Africa tu bali duniani kote.
Nchi kama China, USA, Russia zimeanza kuiangalia Tanzania kwa jicho la tatu hii imekuja baada ya kuonekana kwa kasi ya maendeleo ktk nchi hii yenye watu wenye akili tele
Pia ukosefu wa ajira kwa wahitimu umepelekea watanzania wengi kuwa wabunifu wa kujiajili wengi wakiamua kuwa wakulima, wengine matapeli, wengine kuwa Sungusungu na wengine kuwa waganga wa kienyeji.
Pia ukosefu wa ajira umepelekea kuzuka kwa taasis mbalimbali kama CHAPUTA, UWABATA na nyinginezo ambazo zote mda c mrefu zitaanza kulipia kodi
Tujivunie kuwa watanzania, yajayo yanafurahisha.......
Kwa yeyote mwenye idea ya maendeleo asikose kusharea hapo chin ili tuzid kulisongesha
Picha hapo chini yaonesha taswira ya mkoa wa Shinyanga baada ya miaka kumi na tano
Nchi kama China, USA, Russia zimeanza kuiangalia Tanzania kwa jicho la tatu hii imekuja baada ya kuonekana kwa kasi ya maendeleo ktk nchi hii yenye watu wenye akili tele
Pia ukosefu wa ajira kwa wahitimu umepelekea watanzania wengi kuwa wabunifu wa kujiajili wengi wakiamua kuwa wakulima, wengine matapeli, wengine kuwa Sungusungu na wengine kuwa waganga wa kienyeji.
Pia ukosefu wa ajira umepelekea kuzuka kwa taasis mbalimbali kama CHAPUTA, UWABATA na nyinginezo ambazo zote mda c mrefu zitaanza kulipia kodi
Tujivunie kuwa watanzania, yajayo yanafurahisha.......
Kwa yeyote mwenye idea ya maendeleo asikose kusharea hapo chin ili tuzid kulisongesha
Picha hapo chini yaonesha taswira ya mkoa wa Shinyanga baada ya miaka kumi na tano