Naamini yote,nisichoamini na nakikataa kwa nguvu zangu zote,ni watoto wadogo kwenda kuzimu eti kisa waliangalia cartoon,jamani MUNGU huyu wa huruma,upendo,hekima,maarifa,na mengi mazito tusiyojua,kweli kabisa anaweza kuwapeleka watoto wadogo kuzimu wasiojua A wala Z? binti yangu mchanga Martha ana umri wa mwaka mmoja na miezi 6 hata kuongea vizuri bado,eti kweli mwanangu huyu aende kuzimu kisa anapenda cartoon? anajua nini huyu? NO THANKS! UONGO MTUPU,NYAMBAF.jamani kutazama cartoon kwa watoto ni dhambi? huyo si MUNGU nayemjua mimi,bali ni shetani,mbona Eric Shigongo anamjua MUNGU vizuri? naye kakubali stori hizo za kijinga ziandikwe ktk magazeti yake,mwanae binti wa miaka 2,Asteria Tanzania,akiangalia cartoon aende kuzimu? this is nonsense mother----er,hao wanasayansi na mleta mada ni walevi wa viroba pumbavu zenu,ndo maana wanadanganya,warusi wanajulikana kwa ulevi kuliko nchi zote ulaya,seems they were drunk,mtoto mchanga jamani aungue moto,huyo ni MUNGU wetu au gumu letu,wana JF think deep!