Utafiti wa kisayansi uliogundua sauti za wanadamu wanaoteseka kuzimu

kuna channel sikumbuki niliiona wapi ila kuna kikosi maalum kipo kwa ajili hiyo na ilikuwa ni reality show, jamaa wanaingia huko chini mapangoni kbsa wanaseti mavitu yao kisha wao wako juu wanasikiliza japo wanasaidiwa na mashine kufanya zile sauti zilete maana kidogo asee ni hatari
 
The problem is everyone is born different before they are brought up different and based upon their own inherent difference they receive and process news different yet we have a minority of people who believe everyone should be the same and ideally adopting of their belief which to others may be of varying levels of acceptance and rejection. For me there is no such a thing
 
Katika Maisha jihadhari kupinga jambo usilolijua kwa undani. Pia usikubali jambo usilolijua kwa undani, hayo mengine siwezi kutoa koment
 
Hakuna nabii wala mtume atayetoa hukmu kwa wanadamu au mashetani bali ni mwenyezi mungu pekee....yesu hana mamlaka ya kumtupa shetani kuzimu bali ni mwenyezi mungu pekee maana yeye ndiye aliyekuumba.na kuviumba vyote ivo....yesu hakuumba kiumbe chchte......Na hakuna mwanadamu ambaye anaweza kwenda kuzimu kisha akarudi acheni uongo...ukifa umekufa hurudi....
 
Mzizi Mkavu. Vipi kuhusu wachawi na waganga wa kienyeji wanaotumia mizimu? Hawa watakwenda wapi wasipotubu? Wewe hutishwi na habari hii?
 

Huyo mpigaji tu
 
Kwa andiko hili kumbe mtu akifa haendi mbinguni na wala huo moto ama pepo haviko mbinguni!!!
 
Wazungu wanaiita kuzimu "bottom less pit"" Inawezekana kuzimu imeanzia hapa duniani na kwenda chini hadi chini kupita dunia.Kuna vitu ambavyo watu wengi mtaviamini Mtakapokufa na itakuwa too late.
 
Sasa wanaposema walisikia sauti kutoka kati kati ya dunia,hapo ktkt ni wapi?ni inchi ipi ambayo iko katikati ya dunia?ni hapo walipokua wakichimba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…