Utafiti wa mti mbenge

BH SON

New Member
Joined
Dec 25, 2018
Posts
1
Reaction score
0
Mti mbenge ni mti ambao unamahusiano zaidi na maji na unapoota au kupandwa eneo hlo lazima patokee chemchemu ndogo ambayo watu wataweza kuchimba kisima na kujipatia maji. Labda naomba kama kuna mtu amewahi kufanyia tafiti mti huu kwa umakini? Naomba na jina lake la kisayansi. Naomba msaada zaidi ili kuendelea na utafiti wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…