Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Utafiti wa Viashiria vya UKIMWI wa mwaka 2022/23 unaonesha kuwa, kiwango cha maambukizi katika Mkoa Njombe ni 12.7% kiwango hiki kimeongezeka kwa 1.3% ukilinganisha na 11.4% ya utafiti uliofanyika mwaka 2016/17.
Lengo la kongamano hili ni kujenga uelewa wa maswala ya VVU na UKIMWI kwa vijana balehe wa shule za msingi na sekondari mkoani Njombe.
Hali ya ukimwi sio poa! Mambo ni mabaya!
Lengo la kongamano hili ni kujenga uelewa wa maswala ya VVU na UKIMWI kwa vijana balehe wa shule za msingi na sekondari mkoani Njombe.
Hali ya ukimwi sio poa! Mambo ni mabaya!