Utafiti wa Viashiria vya UKIMWI

Kuna kibinti kimoja cha kitanga miaka 20 tu kirembo kina shape moja matata sana maskini kimekutwa na Ngoma mpaka Leo nikinwangalia siamini kabisa yaani akisema ausambaze ni dk 0 tu maana sio Kwa kugombaniwa huku na vijana mabachela na waume za watu pia na Mimi nikiwemo
 
Angalia njia zako mkuu
 
Mkuu,

Na wewe umepita naye? Sema kweli tu.
 
Uko ulimwengu gani mkuu, huo umri mtoto hana bikra, dunia imechafuka
Kuna utafiti niliuona kwa Plan International nilibaki natoka machozi tu, walikwenda sehemu, vitoto vya kike havina Virginity wakiwa na 12 years 😔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…