Utafiti: Wachaga wazaliana kwa kasi

Utafiti: Wachaga wazaliana kwa kasi

Kweli ww umedoda kama jina lako, hizo tafiti zimefanywa na binadamu kama ww na pia unatakiwa ujue kitu nachoitwa research critics, sample space im
Echukuliwa rombo tu na hayo maeneo mengi ya kilimanjaro wanamwachia nani? Mbona hawajaongelea infant mortality? Au na wewe mleta mada usiwe kama JUHA kila unachoambiwa hukichuji kwenye hako kaubongo kako ka jongoo kasikokuwa hata mwelekeo. Ila siyo makosa yako ila ni ya ................! Najaribu tu.
 
Lizzy haya bana nini tena? Yana ukweli haya?
Ni kweli wanaume hukaidi kutumia njia za uzazi wa mpango?
Na wewe ni:

EMT sasa niseme nini zaidi wakati wa Wanri wameshaamuliwa kwamba wanazaana sana?

Binnafsi nnavyojua familia za kileo (zenye watoto wa umri wangu 1-25) hamna "nyingi" zenye watoto zaidi ya sita. Ila inawezekana huo utafiti ukawa sahihi na mie ambae nimeishi karibu na nyingi ya hizo familiana kujua kwamba sio wengi kama utafiti unavyoonyesha (najua kupitia ndugu/majirani/niliosoma nao/waalimu n.k) basi all I can say is HAYA BANA.

Swala la kupanga uzazi sijawahi ona/jua kwamba ni tatizo kubwa kule kwetu kwasababu familia nyingi nlizokua naziona/fahamu/sikia kuhusu zilikua hazina watoto wengi sana isipokua zile za zamani ambazo watoto wenyewe ndio mama na baba zetu sie vijana vijana.
 
...wachaga wa MMU poleni....
Jamaa wana hasira kweli na nyie...

tutafanyaje sasa......ila ki ukweli tunakimbiza....baada ya wiki JF.....uzi kuhusu wachagga....hii ina maana tuko mbele sana eeeh....
ila mtoa mada sijui hajawaona na wasambaa...? ...
 
Chagaz hater,......ningeomba nikupe tip tu hapa Tanzania kama utakwenda sehemu na ukakuta hakuna mchaga basi usijisumbuwe kuwekeza eneo hilo. Wachaga ni alama ya mafanikio hapa Tanzania, kwa kifupi hawa ni wahindi weusi hayo maneno mengine ni porojo tu.

Hahahaaaaaaa! Bado natafuta kabila la watu wenye maadili mazuri ili nao niwafundishe namnaya ku-equate umasikini wao na maadili yao mema!
 
EMT, naomba niulize: Huu uchunguzi umeonesha kua wakaazi wa eneo hizo wana matatizo hayo. Inakuaje wakihama na kwenda eneo zingine? Au inakuaje watu tokea eneo zingine wakija huko?
I think the problem is not linked to their tribe but to their location (poor rural area where customs still play a big role). Sijui waonaje?
 
I think the problem is not linked to their tribe but to their location (poor rural area where customs still play a big role). Sijui waonaje?

Tatizo wahusika wanasema wao kwao hakuna umasikini!!!!!!!
 
ninachowapendea awazai mabwege kama waliojazana humu jeifu
 
tutafanyaje sasa......ila ki ukweli tunakimbiza....baada ya wiki JF.....uzi kuhusu wachagga....hii ina maana tuko mbele sana eeeh....
ila mtoa mada sijui hajawaona na wasambaa...? ...

Preta usiulize mtoa mada bali uliza kama waliofanya huo utafiti hawajawaona wasambaa. Tatizo ni kwamba funds ambazo wanapewa zimekuwa allocated kwa mkoa wa Kilimanjaro tuu, na probably hapo ndipo panaweza kuwa na tatizo
 
EMT, naomba niulize: Huu uchunguzi umeonesha kua wakaazi wa eneo hizo wana matatizo hayo. Inakuaje wakihama na kwenda eneo zingine? Au inakuaje watu tokea eneo zingine wakija huko?
I think the problem is not linked to their tribe but to their location (poor rural area where customs still play a big role). Sijui waonaje?

Labda tuangalie sababu walizozitaja: imani potofu, mila na utamaduni, itikadi za kidini na ulevi wa kupindukia. Je wakihama watahama na hizi practices au wataziacha? Au wakihamia watu wengine toka sehemu nyingine wata-adopt au hawata-adopt hizi practices? Kuhusu kuwa ni ni poor area, Kilimajaro kwa ujumla imeendelea zaidi kuliko baadhi ya sehemu nyingine za nchi kama kusini.
 
Labda tuangalie sababu walizozitaja: imani potofu, mila na utamaduni, itikadi za kidini na ulevi wa kupindukia. Je wakihama watahama na hizi practices au wataziacha? Au wakihamia watu wengine toka sehemu nyingine wata-adopt au hawata-adopt hizi practices? Kuhusu kuwa ni ni poor area, Kilimajaro kwa ujumla imeendelea zaidi kuliko baadhi ya sehemu nyingine za nchi kama kusini.
Unavo jibu wewe naona kama ume-link tatizo hili na wachaga... But it is hard to believe that ni tatizo la kabila. Anyway, wewe ndie ulizoma na ku-summarize article.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Chagaz hater,......ningeomba nikupe tip tu hapa Tanzania kama utakwenda sehemu na ukakuta hakuna mchaga basi usijisumbuwe kuwekeza eneo hilo. Wachaga ni alama ya mafanikio hapa Tanzania, kwa kifupi hawa ni wahindi weusi hayo maneno mengine ni porojo tu.
Asante sana kwa kunukuu maneno ya JM Kikwete- The President of URT
 
haka kamada kazuri kweli. leo naacha kazi zoooote hadi nione mwisho wa haka kamada.
 
Back
Top Bottom