Utafiti: Wafanyakazi wanaolipwa maslahi duni ndio wanaoihujumu kampuni au serikali iliyowaajiri

Utafiti: Wafanyakazi wanaolipwa maslahi duni ndio wanaoihujumu kampuni au serikali iliyowaajiri

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari wakuu!

Uzi huu nimeuleta kwenye jukwaa la siasa ili ikiwezekana viongozi angalau wawili watatu wauone huenda wataamka.

Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikuwa mgodini Bulyanhulu as security officer 2014-15.

Kisha nikaacha kazi kwasababu zangu binafsi then nikaajiriwa na four Seasons hotel kwenye hifadhi ya Serengeti (Nafasi kapuni). Nikitaja nafasi naogopa watu niliofanya nao kazi kuunganisha nukta.

Kazi ya four Seasons niliacha kabla hata sijamaliza mwezi kamili baada ya kuitwa kazini kwenye ofisi moja ya serikali ambako niko mpaka sasa. Na huku malengo yangu July mwaka huu niache kazi ingawa nahisi something hakiko poa hivyo nitaongeza mwaka mmoja au miwili mbele.

Tathmini niliofanya nikiwa sehemu zote 3 katika ajira nimegundua boss anapokwepa wajibu wake wa kumlipa vizuri mtumishi wake basi kuna uwezekano mkubwa wa kutiwa hasara kimyakimya na mfanyakazi wake bila yeye kujua haraka.

Tabia ya rushwa na wizi ni natural kwa mtu husika but ugumu wa maisha unamfanya kila mfanyakazi mwenye kipato kidogo kujihusisha na ubadhilifu wa mali za umma au kampuni.

Boss unaweza kushangaa kwanini ofisi haisongi mbele mpaka utahisi unarogwa kumbe unaliwa kimyakimya na watumishi wako wanaolipwa kidogo kwa baraka zako.
Hakuna mfanyakazi mwenye maslahi duni duniani asiyemuhujumu mwajiri wake direct or indirect. Never.

Lazima atahujumu either time, assets, accessories mbali mbali au fedha.
 
Kumbe hata buku 7 waliopo hapa jukwaani kumtetea Magufuli wanamuhujumu?

Mbowe yeye kalipa wangapi?
,mbona wanaotoka huko wanadai hawalipwi kabisa ila wanaambiwa wakomae tu
Na pesa kwenye kibubu haipo
nadhani ndo inatumika kupiga faru john mpaka miguu inavunjika.
Nyie endeleeni kupiga ukunga tu.
 
Mbowe yeye kalipa wangapi?
,mbona wanaotoka huko wanadai hawalipwi kabisa ila wanaambiwa wakomae tu
Na pesa kwenye kibubu haipo
nadhani ndo inatumika kupiga faru john mpaka miguu inavunjika.
Nyie endeleeni kupiga ukunga tu.
Umeua
 
Habari wakuu!
Uzi huu nimeuleta kwenye jukwaa la siasa ili ikiwezekana viongozi angalau wawili watatu wauone huenda wataamka.
Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikuwa mgodini Bulyanhulu as security officer 2014-15.
Kisha nikaacha kazi kwasababu zangu binafsi then nikaajiriwa na four Seasons hotel kwenye hifadhi ya Serengeti (Nafasi kapuni). Nikitaja nafasi naogopa watu niliofanya nao kazi kuunganisha nukta. Kazi ya four Seasons niliacha kabla hata sijamaliza mwezi kamili baada ya kuitwa kazini kwenye ofisi moja ya serikali ambako niko mpaka sasa. Na huku malengo yangu July mwaka huu niache kazi ingawa nahisi something hakiko poa hivyo nitaongeza mwaka mmoja au miwili mbele.
Tathmini niliofanya nikiwa sehemu zote 3 katika ajira nimegundua boss anapokwepa wajibu wake wa kumlipa vizuri mtumishi wake basi kuna uwezekano mkubwa wa kutiwa hasara kimyakimya na mfanyakazi wake bila yeye kujua haraka.
Tabia ya rushwa na wizi ni natural kwa mtu husika but ugumu wa maisha unamfanya kila mfanyakazi mwenye kipato kidogo kujihusisha na ubadhilifu wa mali za umma au kampuni.
Boss unaweza kushangaa kwanini ofisi haisongi mbele mpaka utahisi unarogwa kumbe unaliwa kimyakimya na watumishi wako wanaolipwa kidogo kwa baraka zako.
Hakuna mfanyakazi mwenye maslahi duni duniani asiyemuhujumu mwajiri wake direct or indirect. Never.
Lazima atahujumu either time, assets, accessories mbali mbali au fedha.
Umenena vyema sana mkuu.Hata rais achinje wala rushwa hadharani hawezi kuwamaliza na ndiyo maana nchi za wenzetu zimefanikiwa kwenye mapambano ya rushwa kuboresha stahiki za watumishi sio kama huku kwetu tunatishana na kutumbuana.
 
Umenena vyema sana mkuu.Hata rais achinje wala rushwa hadharani hawezi kuwamaliza na ndiyo maana nchi za wenzetu zimefanikiwa kwenye mapambano ya rushwa kuboresha stahiki za watumishi sio kama huku kwetu tunatishana na kutumbuana.
Hasara zinazoletwa ni kubwa kuliko mishahara wanayolipwa
 
Habari wakuu!
Uzi huu nimeuleta kwenye jukwaa la siasa ili ikiwezekana viongozi angalau wawili watatu wauone huenda wataamka.
Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikuwa mgodini Bulyanhulu as security officer 2014-15.
Kisha nikaacha kazi kwasababu zangu binafsi then nikaajiriwa na four Seasons hotel kwenye hifadhi ya Serengeti (Nafasi kapuni). Nikitaja nafasi naogopa watu niliofanya nao kazi kuunganisha nukta. Kazi ya four Seasons niliacha kabla hata sijamaliza mwezi kamili baada ya kuitwa kazini kwenye ofisi moja ya serikali ambako niko mpaka sasa. Na huku malengo yangu July mwaka huu niache kazi ingawa nahisi something hakiko poa hivyo nitaongeza mwaka mmoja au miwili mbele.
Tathmini niliofanya nikiwa sehemu zote 3 katika ajira nimegundua boss anapokwepa wajibu wake wa kumlipa vizuri mtumishi wake basi kuna uwezekano mkubwa wa kutiwa hasara kimyakimya na mfanyakazi wake bila yeye kujua haraka.
Tabia ya rushwa na wizi ni natural kwa mtu husika but ugumu wa maisha unamfanya kila mfanyakazi mwenye kipato kidogo kujihusisha na ubadhilifu wa mali za umma au kampuni.
Boss unaweza kushangaa kwanini ofisi haisongi mbele mpaka utahisi unarogwa kumbe unaliwa kimyakimya na watumishi wako wanaolipwa kidogo kwa baraka zako.
Hakuna mfanyakazi mwenye maslahi duni duniani asiyemuhujumu mwajiri wake direct or indirect. Never.
Lazima atahujumu either time, assets, accessories mbali mbali au fedha.
Endeleeni kusifu na kuabudu, mliamini maisha magumu yatawapata wapinzani na CCM mtapewa kwa mlango wa nyuma. Dic is Dic and always Dic.
 
Tangu 2015 gharama za maisha kwenye kila kitu zimepanda sana lakini mishahara ni ile ile ya 2015. Wafanyakazi hawana jinsi bali kuingia kwenye madeni makubwa ili kukidhi gharama zao za maisha kila mwezi. Mishahara ikiingia ni kuanza kufikiria deni lipi lilipwe mwanzo na lipi linaweza kusubiri.

Sasa mfanyakazi kama huyu motisha wa kufanya kazi zake UTATOKA WAPI!?

Umenena vyema sana mkuu.Hata rais achinje wala rushwa hadharani hawezi kuwamaliza na ndiyo maana nchi za wenzetu zimefanikiwa kwenye mapambano ya rushwa kuboresha stahiki za watumishi sio kama huku kwetu tunatishana na kutumbuana.
 
Na wale wanaoitwaga mafisadi na kuiba hela za mboga kumbe huwa wanalipwa kidogo pia ndio maana wanahujumu
 
Habari wakuu!

Uzi huu nimeuleta kwenye jukwaa la siasa ili ikiwezekana viongozi angalau wawili watatu wauone huenda wataamka.

Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikuwa mgodini Bulyanhulu as security officer 2014-15.

Kisha nikaacha kazi kwasababu zangu binafsi then nikaajiriwa na four Seasons hotel kwenye hifadhi ya Serengeti (Nafasi kapuni). Nikitaja nafasi naogopa watu niliofanya nao kazi kuunganisha nukta.

Kazi ya four Seasons niliacha kabla hata sijamaliza mwezi kamili baada ya kuitwa kazini kwenye ofisi moja ya serikali ambako niko mpaka sasa. Na huku malengo yangu July mwaka huu niache kazi ingawa nahisi something hakiko poa hivyo nitaongeza mwaka mmoja au miwili mbele.

Tathmini niliofanya nikiwa sehemu zote 3 katika ajira nimegundua boss anapokwepa wajibu wake wa kumlipa vizuri mtumishi wake basi kuna uwezekano mkubwa wa kutiwa hasara kimyakimya na mfanyakazi wake bila yeye kujua haraka.

Tabia ya rushwa na wizi ni natural kwa mtu husika but ugumu wa maisha unamfanya kila mfanyakazi mwenye kipato kidogo kujihusisha na ubadhilifu wa mali za umma au kampuni.

Boss unaweza kushangaa kwanini ofisi haisongi mbele mpaka utahisi unarogwa kumbe unaliwa kimyakimya na watumishi wako wanaolipwa kidogo kwa baraka zako.
Hakuna mfanyakazi mwenye maslahi duni duniani asiyemuhujumu mwajiri wake direct or indirect. Never.

Lazima atahujumu either time, assets, accessories mbali mbali au fedha.
Hawajui kuwa "Tumbo tupu, hufungua akili"

Hakuna mtu jasiri kama aliye na njaa ya kitu, (Kitu chochote)
 
Na wale wanaoitwaga mafisadi na kuiba hela za mboga kumbe huwa wanalipwa kidogo pia ndio maana wanahujumu
Nimeongea kitu huenda hujanielewa.
Ufisadi na rushwa pamoja na wizi ni tabia ya mtu naturally. Ndio maana wapo viongozi wezi na wapo ambao sio wezi. Sasa tukija kwa watumishi wa chini wote ni wezi wa mali za umma, muda wa serikali, uzembe au wadokozi wa fedha. Muhasibu gani wa serikali alipwe 580000,au 720000 asiibie serikali?. Hivi unajua kuwa kuna wahasibu na watu wa manunuzi wanalipwa pesa ndogo sana na serikali huku mkono wao ndio unaotia sahihi zinazohusu fedha?
 
Nimeongea kitu huenda hujanielewa.
Ufisadi na rushwa pamoja na wizi ni tabia ya mtu naturally. Ndio maana wapo viongozi wezi na wapo ambao sio wezi. Sasa tukija kwa watumishi wa chini wote ni wezi wa mali za umma, muda wa serikali, uzembe au wadokozi wa fedha. Muhasibu gani wa serikali alipwe 580000,au 720000 asiibie serikali?. Hivi unajua kuwa kuna wahasibu na watu wa manunuzi wanalipwa pesa ndogo sana na serikali?
Hapo nimekupata mkuu
 
Kuna watu wawili wote procurement officer miaka 8 iliyopita mmoja alikiri anaingiza milion mbili kwa wiki huyu ni mkuu wa kitengo.

Mwengine akakiri anaingiza milion moja kwa wiki,ana kazi kubalisha wanawake yeye ana deal na umbo number nane.
 
Back
Top Bottom