Mhujumu Uchumi
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,541
- 3,521
Ngoja niongeze juhudi za kula rushwa kesho nikiwa barabarani Kawe. Mshahara laki3 toka nitoke sisipii mwaka wa 15 sasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaahhahahaWenyewe wana msemo wao.
Wanasema "Serikali inajifanya inatulipa, na sisi tunajifanya tunafanya kazi".
[emoji23][emoji23][emoji23]nimeipenda hiiWenyewe wana msemo wao.
Wanasema "Serikali inajifanya inatulipa, na sisi tunajifanya tunafanya kazi".
Amna mkuu Kwa kuwa "serikali inajifanya inatulipa na sisi tutaendelea kujifanya Kama tunafanya kazi "Pamoja boss. Tupige kazi tujenge serikali ya viwanda tusimuangushe Rais
Hiyo tunaita patulo.Amna mkuu Kwa kuwa "serikali inajifanya inatulipa na sisi tutaendelea kujifanya Kama tunafanya kazi "
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tit 4 tat is the most fair gameHiyo tunaita patulo.
Muuza Cheni kauza ya bandia kamtoroka mnunuzi wake ambaye naye kamtoroka kisa katoa fedha za bandia
mkuu walikua wanakulipa kiasi gani..maana nahitaj kjua sec.officer mshahara wao paleHabari wakuu!
Uzi huu nimeuleta kwenye jukwaa la siasa ili ikiwezekana viongozi angalau wawili watatu wauone huenda wataamka.
Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikuwa mgodini Bulyanhulu as security officer 2014-15.
Kisha nikaacha kazi kwasababu zangu binafsi then nikaajiriwa na four Seasons hotel kwenye hifadhi ya Serengeti (Nafasi kapuni). Nikitaja nafasi naogopa watu niliofanya nao kazi kuunganisha nukta.
Kazi ya four Seasons niliacha kabla hata sijamaliza mwezi kamili baada ya kuitwa kazini kwenye ofisi moja ya serikali ambako niko mpaka sasa. Na huku malengo yangu July mwaka huu niache kazi ingawa nahisi something hakiko poa hivyo nitaongeza mwaka mmoja au miwili mbele.
Tathmini niliofanya nikiwa sehemu zote 3 katika ajira nimegundua boss anapokwepa wajibu wake wa kumlipa vizuri mtumishi wake basi kuna uwezekano mkubwa wa kutiwa hasara kimyakimya na mfanyakazi wake bila yeye kujua haraka.
Tabia ya rushwa na wizi ni natural kwa mtu husika but ugumu wa maisha unamfanya kila mfanyakazi mwenye kipato kidogo kujihusisha na ubadhilifu wa mali za umma au kampuni.
Boss unaweza kushangaa kwanini ofisi haisongi mbele mpaka utahisi unarogwa kumbe unaliwa kimyakimya na watumishi wako wanaolipwa kidogo kwa baraka zako.
Hakuna mfanyakazi mwenye maslahi duni duniani asiyemuhujumu mwajiri wake direct or indirect. Never.
Lazima atahujumu either time, assets, accessories mbali mbali au fedha.
Miaka 9 imepita.mkuu walikua wanakulipa kiasi gani..maana nahitaj kjua sec.officer mshahara wao pale
sawa mkuu.Miaka 9 imepita.
Mabadiliko mengi pia yamefanyika, so hapo hata nikikutajia haiendani kwa sasa