Utafiti: Wafanyakazi wanaolipwa maslahi duni ndio wanaoihujumu kampuni au serikali iliyowaajiri

Amna mkuu Kwa kuwa "serikali inajifanya inatulipa na sisi tutaendelea kujifanya Kama tunafanya kazi "

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo tunaita patulo.
Muuza Cheni kauza ya bandia kamtoroka mnunuzi wake ambaye naye kamtoroka kisa katoa fedha za bandia
 
Reactions: a45
Hiyo tunaita patulo.
Muuza Cheni kauza ya bandia kamtoroka mnunuzi wake ambaye naye kamtoroka kisa katoa fedha za bandia
Tit 4 tat is the most fair game


Nikanyage ugoko nikupige buti la shingo
 
mkuu walikua wanakulipa kiasi gani..maana nahitaj kjua sec.officer mshahara wao pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…