Utafiti: Wakenya waongoza Afrika kwa kuwa na mawazo chanya - positive minded

Nilishakuambia hao omba omba ni nyie ndo mnaenda kuwaiba alafu mnaenda kuwatumia [emoji23][emoji23][emoji23]
Masikini wa Tanzania ni bora mara mia kuliko masikini wa kenya,
Karne hii mnapewa misaada ya chakula.
 
Wameiga kutoka kwenu kwa sababu hiyo michezo ni mingi mno hapo Nairobi.
Hahaha! 😀 Nice story. Mbona omba omba sio wakimbizi wa Somalia na S.Sudan, ambao ni wengi Kenya? Ama jirani wengine kama waganda na wahabeshi?
 
Kawaulize ndugu zako wanofanya hiyo import [emoji23][emoji23][emoji23]
Unatapatapa tu huna hoja ya maana. Waeleze viongozi wa serikali yenu 'sikivu' ya sisiemu waje wawaokoe wenzao huku Kenya. Angalau aibu ipungue.
 
Hao ni ninyi ndio mnawatorosha na kwenda kuwafundisha kuomba omba, mtajua nyie huko
Unatapatapa tu huna hoja ya maana. Waeleze viongozi wa serikali yenu 'sikivu' ya sisiemu waje wawaokoe wenzao huku Kenya. Angalau aibu ipungue.
 
Wewe hujui uchumi wa Kenya ni mara dufu yenu? Yaani ×2. Kuwa na adabu mtoto wewe unapoongea na watu wazima.

Aha haaa
Usiogope hiyo ×2. It's just a paper figure like what you wrote above.
 
Tungekuwa wazembe Kama nyie Tungekuwa tunapewa misaada ya chakula karne hii [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kama kenya kungekuwa na ukame wa kutisha na UAE wanaowapeni misaada ya chakula wasemaje.
 
So after having the worst and the biggest slum in Africa..Mathare and Kibera..
All they can say is this???
Bora watu wa slums kuliko nyie wenye unyama na ukiongeza umaskini mnaanza kuwachinja albinos ili kufukuza umaskini.

Those Kibera people in all their poverty they still maintain their humanity unlike you folks in Tz.
 
You talking about past news to satisfy yourself [emoji23][emoji23][emoji23]

Bora watu wa slums kuliko nyie wenye unyama na ukiongeza umaskini mnaanza kuwachinja albinos ili kufukuza umaskini.

Those Kibera people in all their poverty they still maintain their humanity unlike you folks in Tz.
 
My foot labda pombe
 
Je hii taarifa inatoka wapi na kufanywa na nani???

Kila nchi yenye URAFIKI NA WAZUNGU/MABEBERU usifiwa sana

Tafakali sana bwana wenu anawasifia mnafurahi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Soma vizuri hatujitangazi, wanatutaja wenyewe hao.
Kenya ni taifa teule la wazungu mzungu ndiye anaongoza Kenya hiyo ipo wazi hivyo wakenya na wazungu mnatapatapa Kwa sababu ya tz kufanya vizuri bila kumsujudia mzungu
 
So after having the worst and the biggest slum in Africa..Mathare and Kibera..
All they can say is this???
Cha kushangaza ni kwamba hizo mitaa ulizotaja wale omba omba wenu wamevamia kama nzige na bakuli mikononi na nyusi zenye huruma
 
So after having the worst and the biggest slum in Africa..Mathare and Kibera..
All they can say is this???
Kumbe hujui watanzania wamejaa hapo kibera hata kushinda waganda. Waganda wakija huku ni watu wa kuchapa kazi lakini watanzania kazi yenyu ni kujaza uchafu Nairobi kwa kuomba kila kukicha kwa barabara, huku mkiwa na watoto. Yani wakenya tumechoka na hawa watu wenyu wavivu wasio fanya kazi. Tafadhali mje mwachukue wanachafua mazingira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…